Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…

Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]

The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya

Dec 21 2015 Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kuweka wazi mikakati waliojiwekea kama Wizara pamoja na Jeshi la Polisi katika kupambana na dawa za kulevya, ugaidi na kesi za kubambikiwa. Hii ni baada ya kukamilisha ziara zake alizozifanya katika maeneo mbalimbali ikiwemo ofisi za Jeshi la Polisi. […]

The post Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Michuzi

ORODHA YA WAUZA DAWA ZA KULEVYA HAINISADII-KITWANGA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu wakati alipokuwa anawasili Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi. Waziri Kitwanga alifanya mazungumzo na Viongozi Wakuu wa jeshi hilo na kukubaliana kuweka mikakati zaidi ya kukabiliana na uhalifu nchini.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kumaliza mazungumzo...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI

Na Asteria Muhozya, Mtwara   Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Mhe. Charles Kitwanga, amepokea Shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi katika bandari ya Mtwara na kueleza kuwa, ujio wa miundo mbinu hiyo ni neema kwa uchumi wa Tanzania.  Aliongeza kuwa, hiyo ni hatua kubwa katika kufikia malengo tarajiwa ikizingatiwa kwamba, kukamilika kwa mradi huo kutachochea na kufungua njia mbalimbali za uchumi unaoendana na sekta ya gesi na mafuta.   “Ujenzi wa miundombinu ya...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (Kushoto) na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam kwa ajili ya kufungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini unaoanza tarehe 01 hadi tarehe 02, Aprili 2015 wenye lengo la kujadili mafanikio na changamoto katika utendaji kazi wa Wizara pamoja na taasisi zake.Mwenyekiti wa Chama cha...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Kitwanga kuwashughulikia wahusika madawa ya kulevya.

Waziri wa mambo ya ndani, Charles Kitwanga amesema hataogopa kushughulika na mtu au kundi lolote litakalobainika kuhusika na biashara ya dawa za kulevya na kuliagiza jeshi la polisi kuboresha mfumo  utakaovunja mtandao wa biashara hiyo, bila kujali nguvu za kifedha ama mamlaka waliyonayo.

Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari, baada ya kikao na viongozi waandamizi wa jeshi la polisi jijini Dar es salaam ambapo akaagiza kuwepo kwa mfumo madhubuti utakawatia wote nguvuni.

 

Amesema,...

 

9 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA RASMI WAZIRI CHARLES KITWANGA, WIZARANI LEO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akipokea zawadi ya Ua kutoka kwa Mtumsihi wa Wizara hiyo, Veronica Mwafisi wakati Katibu Mkuu wa Wizara, Mbarak Abdulwakil (kushoto) akiwaongoza Watumishi wa wizara yake kumpokea rasmi Waziri huyo alipokuwa anawasili wizarani hapo kuanza kazi leoWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akimsalimia Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi (D/IGP), Abdurahman Kaniki wakati Waziri huyo alipokuwa anawasili rasmi wizarani kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪

Raia 12 wa Iran na Pakistan wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin kilo 200.5, zenye thamani ya sh. bilioni 9.02, wamelalamikia kucheleweshwa kwa kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Washtakiwa hao ni Kapteni Ayoub Mohamed, Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Khalid Ally, Abdul Somad, Saeed Sahury, Bashir Afraz, Morad Gwaram na Hazir Azad, wote raia wa Iran ambao walikamatwa kwenye Bahari ya Tanzania.
Wengine ni Buksh Mohamed,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya

Dar es Salaam. Usafirishaji na utumuaji dawa za kulevya unapigwa vita kila kona ya dunia. Lakini magenge ya watu wanaozalisha na kusafirisha dawa hizo wamekuwa wakitumia mbinu mbalimbali kufanikisha biashara hiyo haramu.

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara

 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, akizungumza na mama huyu mkazi wa kijiji cha Nyakunguru, kilicho jirani na eeno la mgodi wa North Mara, huko Nyamongo wilayani Tarime mkoa wa Mara, wakati alipofanya ziara ya kutembelea maeneo yanayozunguka mgodi huo Jumatatu Mei 5, 2015 ili kufahamu jitihada za mgodi kuendeleza miradi ya kijamii na changamoto ambazo Jamii na Mgodi zinapata kutokana na shughuli za uchimbaji.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, (Wapili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani