Waziri Kitwanga kuwashughulikia wahusika madawa ya kulevya.
Waziri wa mambo ya ndani, Charles Kitwanga amesema hataogopa kushughulika na mtu au kundi lolote litakalobainika kuhusika na biashara ya dawa za kulevya na kuliagiza jeshi la polisi kuboresha mfumo utakaovunja mtandao wa biashara hiyo, bila kujali nguvu za kifedha ama mamlaka waliyonayo.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari, baada ya kikao na viongozi waandamizi wa jeshi la polisi jijini Dar es salaam ambapo akaagiza kuwepo kwa mfumo madhubuti utakawatia wote nguvuni.
Amesema,...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya
Dec 21 2015 Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kuweka wazi mikakati waliojiwekea kama Wizara pamoja na Jeshi la Polisi katika kupambana na dawa za kulevya, ugaidi na kesi za kubambikiwa. Hii ni baada ya kukamilisha ziara zake alizozifanya katika maeneo mbalimbali ikiwemo ofisi za Jeshi la Polisi. […]
The post Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…
Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]
The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
Vijimambo29 Jan
WAZIRI MPYA WA UCHUKUZI SAMUEL SITTA ALIKUTANA ANA KWA ANA NA WADADA WALIOKAMATWA BAADA YA KUKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/s480x480/10952268_957101927641047_1520180902348101646_n.png?oh=9d7e121f928c054f9f2509296cbdc0fb&oe=555A38C7&__gda__=1431660577_976c3c7785f5494155fed41670e5072d)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z935fnKvEsU/VMiYqnrP71I/AAAAAAADMlg/kHbeMG4RlXo/s72-c/IMG-20150127-WA0021.jpg)
WAZIRI SITTA USO KWA USO WA WADADA WAWILI WALIOKAMATWA UWANJA WA NDEGE KWA MADAWA YA KULEVYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-z935fnKvEsU/VMiYqnrP71I/AAAAAAADMlg/kHbeMG4RlXo/s1600/IMG-20150127-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z5xNLNhs7Eo/VMiYolgcCCI/AAAAAAADMlA/SDA8gPzI3tQ/s1600/IMG-20150127-WA0015.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iQCTnrOy-Hw/VMiYomWS1nI/AAAAAAADMlE/XDiki9nEG2s/s1600/IMG-20150127-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lbHN9wqDpHU/VMiYptX3AQI/AAAAAAADMlQ/bBRqU9TtnPo/s1600/IMG-20150127-WA0018.jpg)
9 years ago
MichuziORODHA YA WAUZA DAWA ZA KULEVYA HAINISADII-KITWANGA
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMv*3iQpf8cw0pGkPm*LoK6WyWGplekB9DBRwgQThCXXRu1riPiQ9sKitsz3lbxyWDmz5Cx2lCb2*9Jco5qtc3b/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TbjoZv-fHvF8pGG5ZVwMg7*v9kHNtKOo18hJRbLQMl6NaMf*JDbcatJtlwROIZZa30n2NDV4qju3bg3BFT33nLJ/madawa.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO