Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s72-c/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, akizungumza na mama huyu mkazi wa kijiji cha Nyakunguru, kilicho jirani na eeno la mgodi wa North Mara, huko Nyamongo wilayani Tarime mkoa wa Mara, wakati alipofanya ziara ya kutembelea maeneo yanayozunguka mgodi huo Jumatatu Mei 5, 2015 ili kufahamu jitihada za mgodi kuendeleza miradi ya kijamii na changamoto ambazo Jamii na Mgodi zinapata kutokana na shughuli za uchimbaji.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, (Wapili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mh. Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, (kushoto), akisalimiana na Meneja Uendelezaji wa kampuni ya Acacia, Asa Mwaipopo, wakati alipofika kwenye kijiji cha Nyakunguru, kilicho jirani na mgodi wa North Mara, Mara ulioko Nyamongo, wilayani Tarime mkoa wa Mara Jumatatu Mei 4, 2015, ili kufahamu jitihada za mgodi kuendeleza miradi ya kijamii na changamoto ambazo Jamii na Mgodi zinapata kutokana na shughuli za uchimbaji Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Glorious...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_xaiu_TMA/VSol61bYtmI/AAAAAAAHQfQ/8xkc8BYQltQ/s72-c/Brad_Kitwanga%2Bunderground.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini atembelea mgodi wa dhahabu bulyanhulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-zt_xaiu_TMA/VSol61bYtmI/AAAAAAAHQfQ/8xkc8BYQltQ/s1600/Brad_Kitwanga%2Bunderground.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zbK1j7lnaow/VSomAmUmhFI/AAAAAAAHQf4/3DY4Z7yaHZ0/s1600/Kitwanga_Brad.jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA RASMI SEMINA YA WACHIMBAJI WADOGO KIBARA, MKOANI MARA
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Stephen Masele afungua rasmi semina ya wachimbaji wadogo Kibara mkoani Mara
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Masele akifungua mafunzo ya wachimbaji wadogo yaliyofanyika Kibara, mkoani Mara. Pia semina hiyo ilishirikisha viongozi wa vijiji, vyama pamoja na madiwani lengo likiwa ni kuwapa uelewa wa sheria na kanuni za uchimbaji wa madini. Aliyekaa katikati ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara Mhe. Kangi Lugora. Kushoto ni Kamishna Msaidizi – Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo Mhandisi Fredy Mahobe.
Naibu Waziri wa...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_09b9LRMvp8/XsUzno1jNVI/AAAAAAALq_E/x2CLFUiUGpMGTvg8qZvu13yOvccRhmhCwCLcBGAsYHQ/s72-c/nemctanzania--1589979457039.jpg)
Waziri Zungu akagua bwawa la kuhifadhi tope sumu (TFS) Mgodi wa Barrick North Mara
![](https://1.bp.blogspot.com/-_09b9LRMvp8/XsUzno1jNVI/AAAAAAALq_E/x2CLFUiUGpMGTvg8qZvu13yOvccRhmhCwCLcBGAsYHQ/s640/nemctanzania--1589979457039.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lWlgRFZXM4M/XsUznzEmz3I/AAAAAAALq_I/UZz337TFe0Mz2Ez3vuAIinP0s8-JK2k_gCLcBGAsYHQ/s640/nemctanzania--1589979457626.jpg)
Waziri Zungu ameambatana na Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Mabula, Mwenyekiti wa Bodi ya NEMC Prof. Esinati Chaggu pamoja na watendaji wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Wakati wa ukaguzi huo Waziri Zungu amewashauri watendaji...
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI