Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Stephen Masele afungua rasmi semina ya wachimbaji wadogo Kibara mkoani Mara
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Masele akifungua mafunzo ya wachimbaji wadogo yaliyofanyika Kibara, mkoani Mara. Pia semina hiyo ilishirikisha viongozi wa vijiji, vyama pamoja na madiwani lengo likiwa ni kuwapa uelewa wa sheria na kanuni za uchimbaji wa madini. Aliyekaa katikati ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara Mhe. Kangi Lugora. Kushoto ni Kamishna Msaidizi – Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo Mhandisi Fredy Mahobe.
Naibu Waziri wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA RASMI SEMINA YA WACHIMBAJI WADOGO KIBARA, MKOANI MARA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNiZsu2F9Ws/U-ykmxg3a9I/AAAAAAAF_nc/mwFuuqMMqgk/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. STEPHEN MASELE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU MHE. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNiZsu2F9Ws/U-ykmxg3a9I/AAAAAAAF_nc/mwFuuqMMqgk/s1600/unnamed%2B(98).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kQHrLBwi6Bk/U-yknAwU6GI/AAAAAAAF_ng/89EGn9OtJl4/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi.Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine,Michael Van Anen Mwakilishi Mwandamizi kutoka Benki ya Dunia ambaye pia ni mtaalamu wa madini kutoka idara ya nishati endelevu nchini Marekani,Bwa.Mamadou Barry akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji madini kwa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi. Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi…
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AFUNGUA SEMINA YA VIJANA MKOANI LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s72-c/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s640/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hgVmZvbHh6k/VUejr85IhUI/AAAAAAAC4AU/jaR3I1lY-po/s640/Kitwanga_Tegesha.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania