NAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI
Na Asteria Muhozya, Mtwara Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Mhe. Charles Kitwanga, amepokea Shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi katika bandari ya Mtwara na kueleza kuwa, ujio wa miundo mbinu hiyo ni neema kwa uchumi wa Tanzania. Aliongeza kuwa, hiyo ni hatua kubwa katika kufikia malengo tarajiwa ikizingatiwa kwamba, kukamilika kwa mradi huo kutachochea na kufungua njia mbalimbali za uchumi unaoendana na sekta ya gesi na mafuta. “Ujenzi wa miundombinu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kitwanga apokea shehena ya mwisho mabomba ya gesi
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia nishati, Charles Kitwanga, amepokea shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi katika Bandari ya Mtwara na kueleza ujio wa miundombinu hiyo ni neema...
11 years ago
Habarileo09 Feb
Shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi yawasili
SHEHENA ya mwisho ya mabomba ya gesi imewasili Dar es Salaam jana ikitokea China na kuleta uhakika wa kukamilika kwa wakati kwa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam, ifikapo Juni mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
shehena ya mwisho ya mabomba kwa ajili ya ujenzi wa bomba la gesi yawasili dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s72-c/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s640/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hgVmZvbHh6k/VUejr85IhUI/AAAAAAAC4AU/jaR3I1lY-po/s640/Kitwanga_Tegesha.jpg)
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
![mbo1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oIYd53vrEUKzCFVKvOWMbSeABlcmK-t_HCA8Rfpk0eKzRmyvfpbfO8F2Fh_2afeu6hJW2ANHUB-Jl-DEHeVVvXbufypP6O6rnEylkVTJT6xkPJuWIwws6g=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo1.jpg)
![mbo2](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Y9smUucEQZlElgdUsSNTDVmcQgAtrEpQ6V2Dl2ahDjGZXljJVPQI8U-bDwAPlWiyKghyemou5I4yuevSaS8P8yAurno2jEPXQJu9N6XkodxA_5zWbXieJw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo2.jpg)
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA RASMI WAZIRI CHARLES KITWANGA, WIZARANI LEO
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…
Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]
The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.