WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara ya Usalama wa Raia wa Jamhuri ya Watu wa China, Wang Jiang wakisaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano katika masuala mbalimbali ya Ulinzi na Usalama wa Raia kati ya Wizara hizo mbili, katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano-MOHA.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto), wakibadilishana Hati za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s72-c/001.POLISI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s1600/001.POLISI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N0WtNnA5SuI/VQj6RJTtlJI/AAAAAAAHLLY/CVTLBfb8AYc/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani anaeshughulikia masuala ya Usalama wa Raia, Demokrasia na Haki za Binadamu Bi. Sarah Sewall atembelea zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-N0WtNnA5SuI/VQj6RJTtlJI/AAAAAAAHLLY/CVTLBfb8AYc/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA BWAWA LA MTERA
Naibu Waziri Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati Mhe. Charles Kitwanga amefanya ziara ya kutembelea Bwawa la kuzalisha Umeme la Mtera mwishoni mwa wiki kwa lengo la kuangalia mwenendo wa maji katika bwawa hilo.
Wakati akizungumza na watendaji wa Bwawa hilo, Kitwanga amewataka watendaji hao kuhakikisha kuwa Bwawa la Mtera linaendelea kuwa na kiasi cha maji ya kutosha wakati wote ili kuweza kuzalisha umeme wa kutosha.
“Lazima muhakikishe...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s72-c/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s640/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hgVmZvbHh6k/VUejr85IhUI/AAAAAAAC4AU/jaR3I1lY-po/s640/Kitwanga_Tegesha.jpg)
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Shonza:Wizara ipo tayari kumpa ushirikiano Chidbenz
Naibu Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza amwaahidi ushirikiano msanii wa bongofleva nchini Rashid Abdallah maarufu Chidbenz.
Mheshimiwa Shonza ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipofanya kikao na msanii huyo ambapo Chid benz alimuhakikishia kuwa kwa sasa amebadilika na anataka kuwaonyesha watanzania amefanikiwa kujikwamua katika matumizi ya madawa ya kulevya na hataki tena kurudi huko kwani anazaidi ya miezi mitatu sasa hajatumia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RTYfRfMDcC8/VD7aO21bZTI/AAAAAAAGqyQ/NpWhm2lzfco/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNTtY_p5Q4k/VD7aP3igLwI/AAAAAAAGqyo/L0CHuCKtfzw/s1600/unnamed%2B(42).jpg)