Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naibu Waziri Shonza:Wizara ipo tayari kumpa ushirikiano Chidbenz

Na Anitha Jonas – WHUSM
Naibu Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza amwaahidi ushirikiano msanii wa bongofleva nchini Rashid Abdallah maarufu Chidbenz.
Mheshimiwa Shonza ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipofanya kikao na msanii huyo ambapo Chid benz alimuhakikishia kuwa kwa sasa  amebadilika na anataka kuwaonyesha watanzania amefanikiwa kujikwamua katika matumizi ya madawa ya kulevya na hataki tena kurudi huko kwani anazaidi ya miezi mitatu sasa hajatumia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA

  Naibu Waziri Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Juma Abdulla Saadala  mwenye kofia akioneshwa namna Meli ya RV Jumuiya inavyofanya kazi ikiwa katika mwendo ndani Ziwa Victoria na nahodha wa meli hiyo  Captain Juma Nkwama jijini Mwanza.  Naibu Waziri wa Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala akitiasaini kitabu cha maudhurio ndani ya Meli ya RV Jumuiya.Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Saadala akifafanua ajambo ndani ya...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki akagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mradi wa Kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II

Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala jana alishindwa kuzindua Mashine ya kuchakata Alizeti iliyotolewa na Mradi wa kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II kwa sababu ya kuwa na kasoro ndogo ndogo za kiufundi na utendaji.
Akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Kilulu nje kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Juma alisema ikiwa ni ahadi yake ya kuzindua mashine hiyo lakini ameshindwa kufanya hivyo baada ya kutokeza kasoro za kiufundi na ya...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI SHONZA ATOA VIFAA VYA SHILINGI MILIONI 10 SONGWE


Naibu Waziri Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Juliana Daniel Shonza mapema leo akiwa na mtoto mwenye ulemavu Mary Mwakanyamale ambaye amempatia kiti maalumu cha watu wenye Ulemavu, Naibu Waziri Shonza ametoa vifaa mbalimbali vya michezo, Elimu na Walemavu vyenye thamani ya shilingi milioni 10,325,000 kwa Mkoa wa Songwe.Naibu Waziri Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Juliana Daniel Shonza mapema leo akimkabidhi Kompyuta Mkuu wa Shule ya...

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Shonza:Filamu ya Dalton ni inafaa kwa vipindi vya watoto


Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza (katikati)akifungua CD ya Filamu ya Dalton kuashiria uzinduzi wa filamu hiyo leo jijini Mwanza,wakwanza kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Jonas Maduhu na kushoto ni Mtayarishaji wa Filamu hiyo Bw.Cherrif Daudi.
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza akisisitiza kusambazwa kwa filamu ya Dalton katika vituo vya televisheni mbalimbali nchini ikiwemo TBC ili filamu hiyo itumike kutoa elimu kwa watoto ionyeshwe katika vipindi vya watoto,leo jijini Mwanza alipokuwa...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI SHONZA AIPA MWEZI MMOJA KAMPUNI YA BENCMARK 360 LTD KUMLIPA MSHINDI WA MASHINDANO YA BSS 2019

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 08/04/2020 ofisini kwake jijini Dodoma ambapo ameitaka kampuni ya Benchmark 360 Ltd ambao ni waandaji wa mashindano ya kutafuta vipaji vya muziki ya Bongo Star Search (BSS) kumlipa mshindi wa mashindano ya BSS 2019 Ndg. Meshack Fukuta ndani ya mwezi mmoja kuanzia leo.

Meshack aliibuka mshindi kwenye mashindano hayo yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo kampuni ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

mbo1Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara ya Usalama wa Raia wa Jamhuri ya Watu wa China, Wang Jiang wakisaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano katika masuala mbalimbali ya Ulinzi na Usalama wa Raia kati ya Wizara hizo mbili, katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano-MOHA.mbo2Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto), wakibadilishana Hati za...

 

10 years ago

Vijimambo

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akutana na Balozi wa Syria


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Dkt. Maadhi Juma Maalimu (Mb) akimkaribisha Balozi wa Syria Nchini Mhe. Abdulmonem Annan, alipokuja kumtembelea na kumweleza kuhusu hali ya kisiasa inavyoendelea nchini Syria  Balozi Abdulmonem Annan akizungumza na Mhe. Maadhi Juma Maalim  Mazungumzo yakiendelea. Picha na Reginald Philip 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani