NAIBU WAZIRI SHONZA AIPA MWEZI MMOJA KAMPUNI YA BENCMARK 360 LTD KUMLIPA MSHINDI WA MASHINDANO YA BSS 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0tr-BUQ3MM/Xo2sN5-VJuI/AAAAAAALmgg/4ftUVcd4AaAnWc-TUoazVEvpmI-Qe16ggCLcBGAsYHQ/s72-c/ca2a5394-6105-498c-bfcb-fdcebbcf0d2b.jpg)
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 08/04/2020 ofisini kwake jijini Dodoma ambapo ameitaka kampuni ya Benchmark 360 Ltd ambao ni waandaji wa mashindano ya kutafuta vipaji vya muziki ya Bongo Star Search (BSS) kumlipa mshindi wa mashindano ya BSS 2019 Ndg. Meshack Fukuta ndani ya mwezi mmoja kuanzia leo.
Meshack aliibuka mshindi kwenye mashindano hayo yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA VODACOM KUBURUZWA KORTINI NI BAADA YA KUSHINDWA KUMLIPA SH.MILIONI 100 MSHINDI WA MCHEZO WA JAY MILLIONS
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Shonza:Wizara ipo tayari kumpa ushirikiano Chidbenz
Naibu Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza amwaahidi ushirikiano msanii wa bongofleva nchini Rashid Abdallah maarufu Chidbenz.
Mheshimiwa Shonza ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipofanya kikao na msanii huyo ambapo Chid benz alimuhakikishia kuwa kwa sasa amebadilika na anataka kuwaonyesha watanzania amefanikiwa kujikwamua katika matumizi ya madawa ya kulevya na hataki tena kurudi huko kwani anazaidi ya miezi mitatu sasa hajatumia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uzoTcgOS0dA/Xme0dwBs8LI/AAAAAAALifA/Zk15QylkXWk_7Rc279FakELR5pH95pQegCLcBGAsYHQ/s72-c/045d7c28-f70c-45a0-9b72-ea7a7548171a.jpg)
NAIBU WAZIRI SHONZA ATOA VIFAA VYA SHILINGI MILIONI 10 SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-uzoTcgOS0dA/Xme0dwBs8LI/AAAAAAALifA/Zk15QylkXWk_7Rc279FakELR5pH95pQegCLcBGAsYHQ/s640/045d7c28-f70c-45a0-9b72-ea7a7548171a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/98397b20-647f-41fa-a38b-57a5cd7f75a1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BWb9lieocYg/Xm576iT33WI/AAAAAAALjyE/wIOIxWqFs-wusM9tRKPObkonlBwL9KdHACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC2.jpg)
Naibu Waziri Shonza:Filamu ya Dalton ni inafaa kwa vipindi vya watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-BWb9lieocYg/Xm576iT33WI/AAAAAAALjyE/wIOIxWqFs-wusM9tRKPObkonlBwL9KdHACLcBGAsYHQ/s640/PIC2.jpg)
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza (katikati)akifungua CD ya Filamu ya Dalton kuashiria uzinduzi wa filamu hiyo leo jijini Mwanza,wakwanza kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Jonas Maduhu na kushoto ni Mtayarishaji wa Filamu hiyo Bw.Cherrif Daudi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIC1.jpg)
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza akisisitiza kusambazwa kwa filamu ya Dalton katika vituo vya televisheni mbalimbali nchini ikiwemo TBC ili filamu hiyo itumike kutoa elimu kwa watoto ionyeshwe katika vipindi vya watoto,leo jijini Mwanza alipokuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C5S-Fbu47-E/XmdtRwyg9LI/AAAAAAALiX0/qEuSGwTnUq4LfpAzXo8Zn2t_77_WBTusQCLcBGAsYHQ/s72-c/NBC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI ANGELINE MABULA AIPA KONGOLE NBC
Dkt Mabula alitoa pongezi hizo jana ofisini kwake jijini Dodoma baada ya kutembelewa na ujumbe wa NBC ukiiongozwa na Meneja wa Tawi la Benki hiyo jijini humo Bi. Happiness Kizigira ikiwa ni muendelezo wa...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Washiriki 10 wa shindano la TMT wafanikiwa kuingia fainali, mshindi mmoja kuondoka na milioni 50 katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 30 mwezi huu
Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie talents (TMT) wakati ilipokua ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwajibika katika Jukwaa la Ukumbi wa Makumbusho ya...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2SyIV2fY7V0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s72-c/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
NAIBU WAZIRI ATAKA DARAJA LA KOGA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s640/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/525f53da-41a9-44fd-9827-c6bf2b42d01a.jpg)
Mtambo wa kushindilia lami ukiendelea na kazi katika barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 324.7); sehemu ya Kasinde – Mpanda, mkoani Katavi. Ujenzi wa sehemu hiyo umefikia asilimia 48.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1dfcbb6f-bf7b-4599-8f01-e748468bd23c.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa kampuni ya Jiangxi Geo – Engineering, Bw. Li, wakati alipokagua...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLP1I4ZxoI/Uy63xatRoZI/AAAAAAAFVuY/xQN5d1j9leI/s72-c/image.pngNN.png)
Naibu Waziri afunga mashindano ya Netball Afrika Mashariki
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLP1I4ZxoI/Uy63xatRoZI/AAAAAAAFVuY/xQN5d1j9leI/s1600/image.pngNN.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QVXzC2QXIvY/Uy65YgHqC8I/AAAAAAAFVug/MHSSw70knYw/s1600/image.pngM.png)
Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdulla Juma Abdulla Saadala akicheza mpira wa Pete kuashiria ufunguzi wa Mchezo wa kwanza wa mashindano ya mpira wa Pete wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki kati ya Uganda Bima na Magereza Morogoro.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y01-2QoNrRo/Uy65vvpwbfI/AAAAAAAFVuo/py7_DtXdZiY/s1600/image.pngB.png)
Waziri wa Wizara ya Ushirikiano...