NAIBU WAZIRI ATAKA DARAJA LA KOGA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s72-c/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
Ujenzi wa Daraja la Koga lenye urefu wa mita 120 ukiendelea kwa kasi. Daraja hilo linaunganisha mkoa wa Katavi na Tabora unatarajiwa kukamilika mwezi Oktoba mwaka huu.
Mtambo wa kushindilia lami ukiendelea na kazi katika barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 324.7); sehemu ya Kasinde – Mpanda, mkoani Katavi. Ujenzi wa sehemu hiyo umefikia asilimia 48.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa kampuni ya Jiangxi Geo – Engineering, Bw. Li, wakati alipokagua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Dkt. Magufuli akagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni-Kukamilika mwezi wa Tisa mwaka huu
![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O0GsIuUMmeI/VZLr3_tVkZI/AAAAAAAHmAY/sQFEFk9ribY/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua moja ya nguzo za barabara za juu flyovers katika maingilio ya Daraja la Kigamboni. Katika eneo hilo kutajengwa barabara za juu ili kuruhusu magari kupita kwa urahisi wakati wa kuingia na kutoka katika daraja hilo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-dWK75pqfR4Y/VZLr2qcK1bI/AAAAAAAHmAE/KBcOCLMCd28/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u0HRqSLDfeI/XlZNlPa9EsI/AAAAAAALfhM/PoB9gRuwYPYzTTyA6tmbtA97Zdgh6r3GwCLcBGAsYHQ/s72-c/UWEKEZAJI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/4-1-2-768x494.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s640/4-1-2-768x494.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-7.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Igr9iywvWY/XucHii8gHYI/AAAAAAALt1c/xhMBOgCYPVMxz6G_IznTKoWSslrfoiSCACLcBGAsYHQ/s72-c/1-21.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA UPIMAJI MAENEO YA MIGODI KUEPUKA MIGOGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Igr9iywvWY/XucHii8gHYI/AAAAAAALt1c/xhMBOgCYPVMxz6G_IznTKoWSslrfoiSCACLcBGAsYHQ/s640/1-21.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akioongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (Kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga kuelekea kuzungumza na watendaji wa sekta ya ardhi katika mkoa wa Geita wakati wa ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mwishoni mwa wiki.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-13.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0tr-BUQ3MM/Xo2sN5-VJuI/AAAAAAALmgg/4ftUVcd4AaAnWc-TUoazVEvpmI-Qe16ggCLcBGAsYHQ/s72-c/ca2a5394-6105-498c-bfcb-fdcebbcf0d2b.jpg)
NAIBU WAZIRI SHONZA AIPA MWEZI MMOJA KAMPUNI YA BENCMARK 360 LTD KUMLIPA MSHINDI WA MASHINDANO YA BSS 2019
Meshack aliibuka mshindi kwenye mashindano hayo yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo kampuni ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MFCxR6Ugj9U/XvBI8qGsw8I/AAAAAAALu24/JAChvLEWIEEzvDXlsG6ASq8y2TFTjom_ACLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-21-08h39m04s769.png)
Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MABULA ATAKA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA KWANGWA MUSOMA
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Daraja Kigamboni kukamilika mwakani
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuwa daraja la Kigamboni linatarajiwa kukamilika Julai Mwakani. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi inayosimamiwa na Mfuko...
10 years ago
Habarileo16 May
Daraja la Kigamboni kukamilika Desemba
UJENZI wa daraja linalounganisha Kigamboni na Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.