Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA



Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)

Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Dkt. Mabula Awaka, Wakurugenzi Hawafuatilii Wadaiwa Sugu Kodi ya Pango la Ardhi.

Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Makazi, Dkt. Angeline Mabula akizungumza na Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Idara ya Ardhi wa Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu kuhusu ukusanyaji kodi ya Pango la Ardhi pamoja utunzaji wa nyaraka za
sekta ya Ardhi.

Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, Akikabidhi vitendea kazi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bariadi Mjini, Melikzedek Humbe kwa niaba ya Halmashauri zote za Mkoa wa Simiyu mara...

 

9 years ago

Michuzi

Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni

 Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula (Mb), akiangalia mafaili ya kesi mbalimbali katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Kinondoni, jijini Dar es salaam, alipofanya ziara ya kushtukiza katika Baraza hilo, kulia kwake ni karani wa baraza hilo, Bahati Rashidi.

 Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula (Mb), akitazama utunzwaji wa mafaili katika masijala alipofanya ziara ya kushtukiza katika Baraza la Ardhi na Nyumba la...

 

5 years ago

Michuzi

MABULA ATAKA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA MITANDAO YA SIMU KUEPUKA CORONA

Na Munir  Shemweta, WANMM SIMIYU

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona.

Dkt Mabula alitoa tahadhari hiyo juzi wilayani Bariadi mkoani Simiyu alipozungumza na Wakurugenzi na Watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za mkoa wa Simiyu akiwa katika ziara ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula atembelea Shirika la Nyumba (NHC)

1

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiwasili Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC Upanga jijini Dar es salaam huku akilakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Ndugu Nehemia Mchechu wakati waziri huyo akiwa katika ziara yake ya kujifunza na kusikiliza Changamoto na mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na shirika hilo.

2

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiuliza jambo kwa mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI

Na Munir Shemweta, WANMM SIMIYUNAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezitaka halmashauri nchini kuanza kupanga maeneo ya uwekezaji katika sehemu ambazo miji inakuwa kwa kasi.
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ACHOSHWA NA BAJETI ZA UPIMAJI ARDHI HALMASHAURI ZA MKOA WA KAGERA










Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti ofisini kwake jana alipowasili mkoani Kagera akiwa katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani humo.



Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto) jana baada ya kuzungumza naye ofsini kwake akiwa katika ziara ya...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA UPIMAJI MAENEO YA MIGODI KUEPUKA MIGOGORO


Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akioongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (Kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga kuelekea kuzungumza na watendaji wa sekta ya ardhi katika mkoa wa Geita wakati wa ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mwishoni mwa wiki.Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na watendaji wa sekta ya ardhi katika mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA KWANGWA MUSOMA

 Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima akimuonesha sehemu ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la hospitali ya Rufaa ya Kwangwa Musoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula alipofanya ziara kukagua ujenzi wa hospitali hiyo jana, Jengo hilo linajengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akikagua sehemu za jengo la hospitali ya Rufaa ya Kwangwa alipofanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi huo jana....

 

5 years ago

Michuzi

WADAIWA KODI YA PANGO LA ARDHI KUANZA KUSAKWA NCHI NZIMA


Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza operesheni maalum ya kuwasaka wadaiwa wote sugu ya kodi ya pango la ardhi na kuwafikisha katika vyombo vya sheria ili kufidia madeni wanayodaiwa.

Akizungumza na Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa katika jiji la Dodoma leo tarehe 6 Machi 2020 Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Methew Nhonge alisema opresheni hiyo inaanza leo kwa nchi nzima ambapo wamiliki wote waliopelekewa ilani za madai wanatakiwa kulipa madeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani