NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA KWANGWA MUSOMA
Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima akimuonesha sehemu ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la hospitali ya Rufaa ya Kwangwa Musoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula alipofanya ziara kukagua ujenzi wa hospitali hiyo jana, Jengo hilo linajengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akikagua sehemu za jengo la hospitali ya Rufaa ya Kwangwa alipofanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi huo jana....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s72-c/KWANGWA-3-768x376.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s640/KWANGWA-3-768x376.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-5.jpg)
Jengo la hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara lililopo eneo la Kwangwa Musoma likiwa katika hatua za ukamilishaji. (PICHA NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Mkoa wa Mara Injia Kazoba Wilson (kushoto) wakati akitoka kukagua maendelezo ya ujenzi wa hospitali hiyo jana Musoma mkoani Mara. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt Vincent Naano Anney.
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MABULA AKERWA MSHAURI ELEKEZI KUKWAMISHA MRADI HOSPITALI YA RUFAA MARA
Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na hatua ya kusimamisha ujenzi wa miundombinu kwenye mradi wa kimkakati wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyopo eneo la Kwangwa Manispaa ya Musoma mkoa wa Mara uliofanywa na Mshauri Elekezi wa mradi huo Kampuni ya ARU Environment Consulting Company Ltd (ABECC) .
Hatua hiyo inafuatia Dkt Mabula kuelezwa na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoa wa Mara Goodluck...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u0HRqSLDfeI/XlZNlPa9EsI/AAAAAAALfhM/PoB9gRuwYPYzTTyA6tmbtA97Zdgh6r3GwCLcBGAsYHQ/s72-c/UWEKEZAJI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...
5 years ago
MichuziUJENZI MIRADI YA NHC WAMKUNA NAIBU WAZIRI MABULA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Igr9iywvWY/XucHii8gHYI/AAAAAAALt1c/xhMBOgCYPVMxz6G_IznTKoWSslrfoiSCACLcBGAsYHQ/s72-c/1-21.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA UPIMAJI MAENEO YA MIGODI KUEPUKA MIGOGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Igr9iywvWY/XucHii8gHYI/AAAAAAALt1c/xhMBOgCYPVMxz6G_IznTKoWSslrfoiSCACLcBGAsYHQ/s640/1-21.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akioongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (Kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga kuelekea kuzungumza na watendaji wa sekta ya ardhi katika mkoa wa Geita wakati wa ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mwishoni mwa wiki.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-13.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/4-1-2-768x494.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s640/4-1-2-768x494.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-7.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Naibu Waziri Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza leo katika hospitali za rufaa mikoa ya Lindi na Mtwara
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qz_pcH478AQ/XuDxoPsUxII/AAAAAAALtZA/53-UZ7gC89sk29mMF7jrp167AP7HNTVQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.40.11%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--x_M8v1RO-8/XuDxn22qkvI/AAAAAAALtY8/uyAOp5opA64yMGRNuM9_m6phagJp2bQXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.41.13%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C5S-Fbu47-E/XmdtRwyg9LI/AAAAAAALiX0/qEuSGwTnUq4LfpAzXo8Zn2t_77_WBTusQCLcBGAsYHQ/s72-c/NBC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI ANGELINE MABULA AIPA KONGOLE NBC
Dkt Mabula alitoa pongezi hizo jana ofisini kwake jijini Dodoma baada ya kutembelewa na ujumbe wa NBC ukiiongozwa na Meneja wa Tawi la Benki hiyo jijini humo Bi. Happiness Kizigira ikiwa ni muendelezo wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10