Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akitoa maelekezo kwa Wakala wa Majengo Nchini (TBA) alipofika kutembelea ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino, Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo (kulia) akikagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino, Dodoma. Ziara hiyo ameifanya leo ambapo aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge (katikati).Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akipokea...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MARA




Jengo la hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara lililopo eneo la Kwangwa Musoma likiwa katika hatua za ukamilishaji. (PICHA NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI).

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Mkoa wa Mara Injia Kazoba Wilson (kushoto) wakati akitoka kukagua maendelezo ya ujenzi wa hospitali hiyo jana Musoma mkoani Mara. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt Vincent Naano Anney.

 

5 years ago

Michuzi

JAFO -HAJARIDHISHWA NA KASI YA TBA KUENDELEA na UJENZI WA HALMASHAURI YA CHALINZE

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI

WAZIRI wa TAMISEMI ,alhaj Selemani Jafo ,hajaridhishwa na ujenzi wa halmashauri ya Chalinze ambao unasuasua tangu mwaka 2018 na kuagiza mkandarasi ambae ni Wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuondolewa baada ya mei 31 mwaka huu.

Amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo na timu yake wahakikishe awamu ya kwanza ya ujenzi inapokwisha mwezi huu watafute mjenzi mwingine wa majengo hayo .

Jafo alitoa kauli hiyo ,wakati alipokwenda kukagua na kujionea kasi ya ujenzi wa majengo...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AKAGUA UJENZI HOSPITALI YA UHURU, AAGIZA KUONGEZWA KWA NGUVU KAZI

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo akitoa maelekezo baada ya kufika kujionea maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa kwa maelekezo ya Rais Dk Magufuli wilayani Chamwino, Dodoma. Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino mkoani Dodoma.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo akiwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru wilayani Chamwino, Dodoma.
Charles James, Globu ya JamiiWAZIRI  wa Nchi Ofisi ya...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AKOSHWA NA SPIDI YA UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU


Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kujitahidi kuendesha kwa spidi ujenzi wa Hospitali mbili za Uhuru na Mlolo.

Jafo amesema kukamilika kwa haraka kwa ujenzi wa Hospitali hizo kutatoa fursa nzuri kwa wananchi wa Chamwino kupata huduma bora za kiafya.

Akizungumza katika ziara yake ya kukagua hospitali hizo, Jafo amesema ujenzi wa hospitali hizo umeenda kwa spidi inayotakiwa hivyo kuwa na imani zitaanza...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MHAGAMA ATOA MAAGIZO UJENZI WA MRADI KIWANDA CHA MACHINJIO YA KISASA WA NGURU KUKAMILIKA KWA WAKATI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na wasimamizi wa mradi wa machinjio ya kisasa ya Nguru Hills alipofanya ziara ya kukagua Maendeleo ya ujenzi wa mradi huo uliopo Nguru ya Ndege, Mvomero Mkoani Morogoro. Wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw. Hosea Kashimba.



Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AWAPONGEZA KISARAWE KWA UBUNIFU WA TAMASHA LA MAMA LISHE, ATOA MAAGIZO KWA WAKURUGENZI WOTE

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo, ameipongeza Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa kuandaa Tamasha la Mama Lishe ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango wa mama lishe katika kuleta maendeleo.

Jafo ametumia nafasi hiyo kuwataka wakurugenzi wa halmashiri zote nchini ambao wataoshindwa kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake, walemavu na vijana watachukuliwa hatua ikiwemo ya kutumbuliwa.
Akizungumza...

 

5 years ago

Michuzi

MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA

KWA miaka mingi kulijengeka utamaduni kwa viongozi wengi hapa nchini kutoa maagizo mbalimbali bila kufanya ufuatiliaji kitendo kilicholeta tabia ya uzembe kwa watendaji wa umma kutotekeleza maagizo hayo na hivyo kusababisha kutokamilika kwa miradi mingi na upotevu mkubwa wa fedha za umma. 
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA KWANGWA MUSOMA

 Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima akimuonesha sehemu ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la hospitali ya Rufaa ya Kwangwa Musoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula alipofanya ziara kukagua ujenzi wa hospitali hiyo jana, Jengo hilo linajengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akikagua sehemu za jengo la hospitali ya Rufaa ya Kwangwa alipofanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi huo jana....

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA NCHINI

  Wakuu wa Mikoa kote nchini wameagizwa kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuuza sukari kwa shilingi 4500.
Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatano April 22, 2020 akiwa kwenye Maombezi ya kuombea Taifa dhidi ya ugonjwa huu yanayofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar 
“Wiki hii waumini wa kiislamu wanaanza mfungo wa Ramadhan hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani