JAFO -HAJARIDHISHWA NA KASI YA TBA KUENDELEA na UJENZI WA HALMASHAURI YA CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-aDLGVpF5qss/XsPdR7Vi6sI/AAAAAAALqyM/BeYBmRGUn7EnFv1G51WMa4Taqx8ABWXBwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200519-WA0053.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
WAZIRI wa TAMISEMI ,alhaj Selemani Jafo ,hajaridhishwa na ujenzi wa halmashauri ya Chalinze ambao unasuasua tangu mwaka 2018 na kuagiza mkandarasi ambae ni Wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuondolewa baada ya mei 31 mwaka huu.
Amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo na timu yake wahakikishe awamu ya kwanza ya ujenzi inapokwisha mwezi huu watafute mjenzi mwingine wa majengo hayo .
Jafo alitoa kauli hiyo ,wakati alipokwenda kukagua na kujionea kasi ya ujenzi wa majengo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qz_pcH478AQ/XuDxoPsUxII/AAAAAAALtZA/53-UZ7gC89sk29mMF7jrp167AP7HNTVQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.40.11%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--x_M8v1RO-8/XuDxn22qkvI/AAAAAAALtY8/uyAOp5opA64yMGRNuM9_m6phagJp2bQXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.41.13%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mradi wa TBA wa ujenzi wa nyumba 10,000 za watumishi wa umma washika kasi
Jengo la gorofa 8 lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 lililojengwa na wakala wa Majengo Tanazania (TBA) Katika eneo la Ada Estate Kinondoni Jijini Dar es salaam ambalo litapangishwa kwa watumishi wa umma mara litakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu ikiwa ni moja ya hatua za Serikali kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa mbele ya moja ya nyumba za Majaji zinazojengwa na TBA wakati wa ziara yao katika eneo la Masaki jijini Dar es...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MTX6__NDvDY/Xlzf3sJw40I/AAAAAAACz2U/SjimRpBX-FQGTKsz8o2CMPJbzoJcXL84gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU: HAJARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA YA FORODHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MTX6__NDvDY/Xlzf3sJw40I/AAAAAAACz2U/SjimRpBX-FQGTKsz8o2CMPJbzoJcXL84gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
“Jengo hili kuta tayari zimeshaanza kuvimba, kwa nini majengo ya TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) yanajengwa kwa kiwango cha chini na kwa nini mmeruhusu majengo haya yatumike,” amehoji Waziri Mkuu.
Kufuatia hali hiyo Waziri Mkuu amemtaka Afisa Miliki wa TRA, Bw. Haruna...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Jafo ahimiza ujenzi wa viwanda vidogo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sM3EgebYs_s/VQLDOUGlH8I/AAAAAAAHKDg/UnJoInfBhm4/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI , AWAFUNDA MAMENEJA MIKOA WA TBA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sM3EgebYs_s/VQLDOUGlH8I/AAAAAAAHKDg/UnJoInfBhm4/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zhMzfiW14gI/VQLDOUnL_5I/AAAAAAAHKDE/F2GU9cEyD84/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OmQRHPouHls/XoRryV_uQgI/AAAAAAALlwg/s72v30_8TogQ0Dcpjd4RFoT0hOlw91vDgCLcBGAsYHQ/s72-c/6cf3bcb9-0aeb-425d-8d11-242191b4a7ea.jpg)
JAFO AKERWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA DC DODOMA
Charles James, Globu ya Jamii
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo ameelezwa kutoridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi na kuagiza kuongezwa kwa nguvu kazi.
Jafo ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya ukaguzi wa nyumba hiyo ambayo inajengwa na Suma JKT na kuwaagiza kuongeza nguvu ili Mkuu huyo wa wilaya aweze kuhamia katika muda uliopangwa.
" Nikiangalia idadi ya mafundi hapa na tarehe ambayo mmesema ujenzi utakamilika Mei 7...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6EKlHiKIYXk/XqE3ZLXUgII/AAAAAAALn7Q/kchuecdXj_Ibg1SEHB72R9ztTXCZJA0dgCLcBGAsYHQ/s72-c/8f936b79-af4d-4b39-912e-c23b0556e57e.jpg)
JAFO AKOSHWA NA SPIDI YA UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kujitahidi kuendesha kwa spidi ujenzi wa Hospitali mbili za Uhuru na Mlolo.
Jafo amesema kukamilika kwa haraka kwa ujenzi wa Hospitali hizo kutatoa fursa nzuri kwa wananchi wa Chamwino kupata huduma bora za kiafya.
Akizungumza katika ziara yake ya kukagua hospitali hizo, Jafo amesema ujenzi wa hospitali hizo umeenda kwa spidi inayotakiwa hivyo kuwa na imani zitaanza...
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Jafo ahimiza ushirikiano ujenzi nyumba ya mwalimu
MBUNGE wa Kisarawe Mkoa wa Pwani, Selemani Jafo amewataka wananchi kushiriki katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo yao ili ikamilike kwa wakati badala ya kuiachia serikali pekee. Akizungumza na...