JAFO AKOSHWA NA SPIDI YA UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-6EKlHiKIYXk/XqE3ZLXUgII/AAAAAAALn7Q/kchuecdXj_Ibg1SEHB72R9ztTXCZJA0dgCLcBGAsYHQ/s72-c/8f936b79-af4d-4b39-912e-c23b0556e57e.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kujitahidi kuendesha kwa spidi ujenzi wa Hospitali mbili za Uhuru na Mlolo.
Jafo amesema kukamilika kwa haraka kwa ujenzi wa Hospitali hizo kutatoa fursa nzuri kwa wananchi wa Chamwino kupata huduma bora za kiafya.
Akizungumza katika ziara yake ya kukagua hospitali hizo, Jafo amesema ujenzi wa hospitali hizo umeenda kwa spidi inayotakiwa hivyo kuwa na imani zitaanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CAeg5yLwB-E/Xm98UJtslLI/AAAAAAALj5s/KZ9ZZga0yawzO03WPk4-t0SAmiocKChpACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.09.18%2BPM.jpeg)
JAFO AKAGUA UJENZI HOSPITALI YA UHURU, AAGIZA KUONGEZWA KWA NGUVU KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CAeg5yLwB-E/Xm98UJtslLI/AAAAAAALj5s/KZ9ZZga0yawzO03WPk4-t0SAmiocKChpACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.09.18%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-o28BEPgB1ys/Xm98bpKF5pI/AAAAAAALj54/PfSktziwcU8EUS42eIA_ciaTNdTN3rr1QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.09.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ssnWn_Pdnw/Xm98bhk9pBI/AAAAAAALj50/M7-UHJJlQPMperuKZre_6_LfZfLNSNv6gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiWAZIRI wa Nchi Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qz_pcH478AQ/XuDxoPsUxII/AAAAAAALtZA/53-UZ7gC89sk29mMF7jrp167AP7HNTVQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.40.11%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--x_M8v1RO-8/XuDxn22qkvI/AAAAAAALtY8/uyAOp5opA64yMGRNuM9_m6phagJp2bQXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.41.13%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
JAFO AWATAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUFANYA KAZI KWA SPIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NSWX3MMtexk/XszqezXLmNI/AAAAAAALrk0/bPn3G6KjjfErEOzC-tl0Ni4hqTgreFjPQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.54.52%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-I8y0gBhXv4o/XszqfFKLd9I/AAAAAAALrk4/IEGr8X9YOik42DvSf4K_EREXT7QJYdgwwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.56.54%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-01nyO0Xvjaw/XmvkiqYbYnI/AAAAAAALjAU/LsH_fO_PJAMzNx1EyVGUlbhYE3EKL0lFgCLcBGAsYHQ/s72-c/i.jpg)
Mweli akoshwa na matumizi ya tofali za mfungamano katika ujenzi wa madarasa
![](https://1.bp.blogspot.com/-01nyO0Xvjaw/XmvkiqYbYnI/AAAAAAALjAU/LsH_fO_PJAMzNx1EyVGUlbhYE3EKL0lFgCLcBGAsYHQ/s640/i.jpg)
Naibu Katibu Mkuu (Elimu), toka OR-TAMISEMI Gerald Mweli (kushoto) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Robert Gabriel wakati wa ziara yake ya kikazimkoani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/ii.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/iii.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Jafo ahimiza ujenzi wa viwanda vidogo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OmQRHPouHls/XoRryV_uQgI/AAAAAAALlwg/s72v30_8TogQ0Dcpjd4RFoT0hOlw91vDgCLcBGAsYHQ/s72-c/6cf3bcb9-0aeb-425d-8d11-242191b4a7ea.jpg)
JAFO AKERWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA DC DODOMA
Charles James, Globu ya Jamii
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo ameelezwa kutoridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi na kuagiza kuongezwa kwa nguvu kazi.
Jafo ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya ukaguzi wa nyumba hiyo ambayo inajengwa na Suma JKT na kuwaagiza kuongeza nguvu ili Mkuu huyo wa wilaya aweze kuhamia katika muda uliopangwa.
" Nikiangalia idadi ya mafundi hapa na tarehe ambayo mmesema ujenzi utakamilika Mei 7...
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Jafo ahimiza ushirikiano ujenzi nyumba ya mwalimu
MBUNGE wa Kisarawe Mkoa wa Pwani, Selemani Jafo amewataka wananchi kushiriki katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo yao ili ikamilike kwa wakati badala ya kuiachia serikali pekee. Akizungumza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aDLGVpF5qss/XsPdR7Vi6sI/AAAAAAALqyM/BeYBmRGUn7EnFv1G51WMa4Taqx8ABWXBwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200519-WA0053.jpg)
JAFO -HAJARIDHISHWA NA KASI YA TBA KUENDELEA na UJENZI WA HALMASHAURI YA CHALINZE
WAZIRI wa TAMISEMI ,alhaj Selemani Jafo ,hajaridhishwa na ujenzi wa halmashauri ya Chalinze ambao unasuasua tangu mwaka 2018 na kuagiza mkandarasi ambae ni Wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuondolewa baada ya mei 31 mwaka huu.
Amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo na timu yake wahakikishe awamu ya kwanza ya ujenzi inapokwisha mwezi huu watafute mjenzi mwingine wa majengo hayo .
Jafo alitoa kauli hiyo ,wakati alipokwenda kukagua na kujionea kasi ya ujenzi wa majengo...
10 years ago
GPLUJENZI WAENDELEA BARABARA YA UHURU