Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJENZI WAENDELEA BARABARA YA UHURU

Fundi ujenzi akiweka tofali kwenye barabara hiyo, eneo la Kariakoo. Shughuli za ujenzi katika Barabara ya Uhuru inayotokea Buguruni hadi Mnazi mmoja umeonekana kuendelea kwa kasi baada ya kamera ya GPL kunasa mafundi wakiendelea na kazi hiyo eneo la Shule ya Uhuru Mchanganyiko na Kariakoo  jijini Dar. (HABARI/PICHA: DENIS…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA

 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akisalimiana na baadhi ya wakazi wa Patandi wakati akiwasili kwenye hafla hiyo ya kukagua ujenzi wa barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja na madaraja makubwa mawili. Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akizungumza na wakaazi wa Patandi, Sangis na Tengeru kuhusu ujenzi wa barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja na madaraja makubwa...

 

10 years ago

Michuzi

MKEKA WAENDELEA KUTANDAZWA BARABARA YA HEDARU MPAKA SAME MKOANI KILIMANJARO

 Maandalizi ya kutandaza mkeka wa uhakika katika Barabara ya kutokea Hedaru mpaka Same mkoani Kilimanjaro umekuwa ukienda vyema kadri siku zinavyokwenda na kuleta matumaini ya safari njema na ya uhakika kwa watumiani wa barabara hiyo, pichani ni moja ya gari likipita kwenye barabara ya muda wakati mkema wa ukweli ukiendelea kutandandazwa. Mafundi wa Ujenzi wa barabara hiyo wakiendela na kazi, ili kuhakikisha mkeka wa uhakika unapatikana haraka iwezekanavyo. Sehemu ya mchekupuko. Muonekano wa...

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...

Barabara ya Tunduma-Ikana-Laela hadi Sumbawanga ikiwa imekamilika kwa asilimia mia moja (100%), barabara hii ambayo ni kiungo muhimu cha Mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi, Kigoma na Tabora imejegwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Msaada kutoka kwa watu wa Marekani.Waziri wa Wizara ya Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mjini Sumbawanga tarehe 02/02/2015 katika viwanja vya Nelson Mandela akiwa ziarani Mkoani Rukwa kukagua ujenzi unaoendelea wa barabara za lami za...

 

10 years ago

GPL

UJENZI STENDI YA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA

Ujenzi wa stendi ya mabasi yaendayo kasi ukiendelea eneo la Kariakoo. Mafundi wakiwa kazini. Taswira ya eneo hilo.…

 

10 years ago

Habarileo

Ujenzi Uwanja wa Ndege wa Nyerere waendelea vizuri

UJENZI wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, unaendelea vizuri. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Masuala ya Usalama wa Wizara ya Uchukuzi, Erasto Wapalila, jijini juzi.

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO WAENDELEA KWA KASI

 Mafundi na wahandisi ujenzi wakiendelea na kazi ya kusuka nguzo kuu katika daraja la mto Kilombero kama walivyokutwa eneo la Kivukoni, mjini Ifakara. Daraja hilo linajengwa na mkandarasi M/S China Railway 15 Group Corparation ya China na lina lenye  urefu wa mita 384  ambapo gharama yake ni Sh bilioni 56 ikiwa na kuweka lami  ya kilometa 9.142 fedha  zilizotolewa na Serikali ya Tanzania  Picha na John Nditi

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujenzi wa maabara waendelea kupamba moto mkoani Singida

DSC02467

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Supeet Mseya (kulia), akikagua ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika kata ya Iseke.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC02469

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA UJENZI WA NEW KAWE CITY WAENDELEA KWA KASI.

Pichani ni maandalizi ya ujenzi wa mradi wa New Kawe City unaoendelea kwa kasi hivi sasa katika eneo la Tanganyika packers,Kinondoni jijini Dar.Mradi huo unasimamiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).Camera ya Globu ya Jamii ilikatiza maeneo hayo jioni ya leo na kujionea maandalizi makubwa ya ujenzi huo ambao wakazi wake watapata makazi bora na ya kudumu kwa bei nafuu.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bwa.Nehemia Mchechu aliwahi kuzungumza kwenye moja ya jukwaa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani