UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO WAENDELEA KWA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Mafundi na wahandisi ujenzi wakiendelea na kazi ya kusuka nguzo kuu katika daraja la mto Kilombero kama walivyokutwa eneo la Kivukoni, mjini Ifakara. Daraja hilo linajengwa na mkandarasi M/S China Railway 15 Group Corparation ya China na lina lenye urefu wa mita 384 ambapo gharama yake ni Sh bilioni 56 ikiwa na kuweka lami ya kilometa 9.142 fedha zilizotolewa na Serikali ya Tanzania Picha na John Nditi
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lcT333p57Ss/VJ7CKg58PdI/AAAAAAAG6DQ/Ixvbsv5dpps/s72-c/1.jpg)
MAANDALIZI YA UJENZI WA NEW KAWE CITY WAENDELEA KWA KASI.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bwa.Nehemia Mchechu aliwahi kuzungumza kwenye moja ya jukwaa la...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248
10 years ago
Mwananchi21 Aug
JK azindua ujenzi Daraja la Kilombero
5 years ago
MichuziUjenzi wa SGR Waendelea kwa Kasi, Trilioni 2.957 Zatumika hadi Sasa
Na Frank Mvungi- MAELEZO
Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia...
9 years ago
StarTV16 Nov
Ujenzi waendelea kwa kasi mabondeni Dar es Salaam licha ya athari za mvua
Shughuli za kuendeleza maeneo ya Mabondeni jijini Dar es Salaam zinachukua kasi kubwa licha ya Serikali kutoa tahadhari na kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama.
Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na uelewa mdogo wa jamii juu ya madhara yanayotokea pindi mvua nyingi zinaponyesha na kusababisha maafa kwa jamii iishiyo maeneo hayo.
Katika hali ya kushangaza maeneo haya ya mabondeni ambayo Serikali imekuwa ikizuia watu kuishi, kutokana na kuwa hatarishi kwa maisha, wakati mvua za masika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA DARAJA LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w7CMGL8y0cI/U_Wqh-kYvpI/AAAAAAAGBFw/o_8b2yABlUE/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Rais Kikwete aandika historia: Aanzisha ujenzi Daraja la Kilombero
Magari yakivuka juu ya daraja la muda la Mto Kilombero lililojengwa kurahisisha kazi za ujenzi wa daraja la kudumu katika wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro, wakati wa sherehe za uwekaji jiwe la msingi wa ujenzi wa darajan hilo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Agosti 20, 2014.
Historia imeandikwa Jumatano, Agosti 20, 2014 katika Mkoa wa Morogoro na katika Tanzania. Kwa mara ya kwanza tokea enzi na enzi, magari yameweza kuvuka Mto wa Kilombero, moja ya mito mikubwa zaidi nchini, mpakani mwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DeSq9uLgLqI/VQaOE7-PNTI/AAAAAAAB5nc/I6DOKUaprNM/s72-c/2G2A4865.jpg)
FILIKUNJOME ATIMIZA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DeSq9uLgLqI/VQaOE7-PNTI/AAAAAAAB5nc/I6DOKUaprNM/s1600/2G2A4865.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YnSvuCJ9I8M/VQaQTgUev2I/AAAAAAAB5n0/BZHdU0hlKJI/s1600/2G2A4747.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA...