MAANDALIZI YA UJENZI WA NEW KAWE CITY WAENDELEA KWA KASI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lcT333p57Ss/VJ7CKg58PdI/AAAAAAAG6DQ/Ixvbsv5dpps/s72-c/1.jpg)
Pichani ni maandalizi ya ujenzi wa mradi wa New Kawe City unaoendelea kwa kasi hivi sasa katika eneo la Tanganyika packers,Kinondoni jijini Dar.Mradi huo unasimamiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).Camera ya Globu ya Jamii ilikatiza maeneo hayo jioni ya leo na kujionea maandalizi makubwa ya ujenzi huo ambao wakazi wake watapata makazi bora na ya kudumu kwa bei nafuu.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bwa.Nehemia Mchechu aliwahi kuzungumza kwenye moja ya jukwaa la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO WAENDELEA KWA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mXsoyHjKjcQ/VZr6dN2Xu4I/AAAAAAAHnZ4/aELBnBSTLtU/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
9 years ago
StarTV16 Nov
Ujenzi waendelea kwa kasi mabondeni Dar es Salaam licha ya athari za mvua
Shughuli za kuendeleza maeneo ya Mabondeni jijini Dar es Salaam zinachukua kasi kubwa licha ya Serikali kutoa tahadhari na kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama.
Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na uelewa mdogo wa jamii juu ya madhara yanayotokea pindi mvua nyingi zinaponyesha na kusababisha maafa kwa jamii iishiyo maeneo hayo.
Katika hali ya kushangaza maeneo haya ya mabondeni ambayo Serikali imekuwa ikizuia watu kuishi, kutokana na kuwa hatarishi kwa maisha, wakati mvua za masika...
5 years ago
MichuziUjenzi wa SGR Waendelea kwa Kasi, Trilioni 2.957 Zatumika hadi Sasa
Na Frank Mvungi- MAELEZO
Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia...
10 years ago
GPLUJENZI STENDI YA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA
11 years ago
GPLUJENZI BARABARA YA KAWAWA KWA MAGARI YAENDAYO KASI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7HYzGD0HIqs/VAFrLOIAFJI/AAAAAAAGVqE/jMfWvmNV55c/s72-c/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--DB4zP7tftc/VJv6i8-GLVI/AAAAAAAG5yE/CwO1rBKrCJ8/s72-c/IMG_2828.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA CHUO KIKUU KUTOKEA MBEZI YA KIMARA UKIENDELEA KWA KASI
![](http://3.bp.blogspot.com/--DB4zP7tftc/VJv6i8-GLVI/AAAAAAAG5yE/CwO1rBKrCJ8/s1600/IMG_2828.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u8FBOIHe268/VJv6g6QKByI/AAAAAAAG5xo/bFJaq2SrHy0/s1600/IMG_2796.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-M18c27uzLE8/XuDxnVLyZBI/AAAAAAALtY4/MT6bCBokEz4e7Xr8Inoj8vYoYW16bpE7gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.38.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qz_pcH478AQ/XuDxoPsUxII/AAAAAAALtZA/53-UZ7gC89sk29mMF7jrp167AP7HNTVQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.40.11%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--x_M8v1RO-8/XuDxn22qkvI/AAAAAAALtY8/uyAOp5opA64yMGRNuM9_m6phagJp2bQXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.41.13%2BPM.jpeg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Kasi ya maandalizi VPL iongezeke
WIKI mbili zimesalia kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL). Kama mdau wa michezo, nimejikuta nahamasika kuhimiza maandalizi ya ndani na nje...