Kasi ya maandalizi VPL iongezeke
WIKI mbili zimesalia kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL). Kama mdau wa michezo, nimejikuta nahamasika kuhimiza maandalizi ya ndani na nje...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Maandalizi TFCA 2013 yashika kasi
MAANDALIZI ya hafla ya utoaji tuzo kwa makocha wa soka Tanzania ‘Tanzania Football Coaches Awards kwa mwaka jana (TFCA 2013), zinazotarajiwa kutolewa mapema Machi 2014 jijini Dar es Salaam, yanaendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lcT333p57Ss/VJ7CKg58PdI/AAAAAAAG6DQ/Ixvbsv5dpps/s72-c/1.jpg)
MAANDALIZI YA UJENZI WA NEW KAWE CITY WAENDELEA KWA KASI.
Pichani ni maandalizi ya ujenzi wa mradi wa New Kawe City unaoendelea kwa kasi hivi sasa katika eneo la Tanganyika packers,Kinondoni jijini Dar.Mradi huo unasimamiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).Camera ya Globu ya Jamii ilikatiza maeneo hayo jioni ya leo na kujionea maandalizi makubwa ya ujenzi huo ambao wakazi wake watapata makazi bora na ya kudumu kwa bei nafuu.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bwa.Nehemia Mchechu aliwahi kuzungumza kwenye moja ya jukwaa la...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bwa.Nehemia Mchechu aliwahi kuzungumza kwenye moja ya jukwaa la...
9 years ago
TheCitizen02 Nov
Why VPL must learn from Bundesliga
The Vodacom Premier League (VPL) can hit a new milestone quality-wise should the governing body, TFF, and clubs learn from the best.
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Simba wanakuja mdogomdogo VPL.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Simba-7April2015.jpg)
Simba imezidi kuongeza kasi katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Kagera Sugar.
Kwa ushindi wa mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kambarage mjini hapa baada ya kushindikana kuchezwa Jumamosi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha, umeifanya Simba kufikisha pointi 35 moja nyuma ya Azam FC iliyopo nafasi ya pili na tano nyuma ya vinara Yanga.
Hata hivyo, Simba imecheza mechi tatu...
10 years ago
TheCitizen13 Jun
Msuva named best VPL player
Dar es Salaam. Young Africans forward took home a total of Sh11.4m following his big win at the Tanzania Football Federation (TFF) awards ceremony.
11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxih-zJTWuSKAhIRsg*b5b7mj9rUp0i0s6jdgZ8UP41tDeeQf-plLGdLzH9m5nT2vggU5cp55J8iab8WmFMZ8stw/SIMBANAYANGA13.jpg?width=650)
MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI
Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi (Januari 26 mwaka huu) kwa mechi tano katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam, Tanga wakati mechi ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting inahamishiwa uwanja mwingine. Ashanti United itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Coastal Union itacheza na Oljoro JKT katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam...
10 years ago
TheCitizen03 Dec
VPL termed better than Kenya’s KPL
Former AFC Leopards and Gor Mahia striker Itubu Imbem, who currently plays for Tanzanian side, Coastal Union, says the Vodacom Premier League is more competitive than Kenya’s KPL.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania