Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MECHI ZA VPL LEO JUMAMOSI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

EPL MECHI ZA JUMAMOSI YA LEO

Mechi za leo Septemba 13, 2014
 8:45 Mchana    Arsenal v Man City -    Emirates Stadium           
 11:00 Jioni     Chelsea v Swansea -    Stamford Bridge         
 11:00 Jioni  Crystal Palace v Burnley -Selhurst Park         
 11:00 Jioni   Southampton v Newcastle - St. Mary's...

 

11 years ago

GPL

MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi (Januari 26 mwaka huu) kwa mechi tano katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam, Tanga wakati mechi ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting inahamishiwa uwanja mwingine. Ashanti United itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Coastal Union itacheza na Oljoro JKT katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...

 

10 years ago

StarTV

Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.

 

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.

 

Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...

 

9 years ago

Vijimambo

VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…

Hapa ni Yanga wakikabiziwa kombe la VPL 2014-2015
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za Ligi ya Uingereza jumamosi

Mechi za ligi ya Uingereza zitakazochezwa siku ya jumamosi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani