MECHI ZA VPL LEO JUMAMOSI
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*AkrMLjZfhGcWkTqgXmWHmhRcdKAoMeWuWDLP13ZMpVgJNULB6Wnfy5nJuk*f0EWyTnzFZStR1ha55q*6vCvwxA/arsenalvsmancity.jpg)
EPL MECHI ZA JUMAMOSI YA LEO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/11988698_914435541937929_2335803857829808847_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxih-zJTWuSKAhIRsg*b5b7mj9rUp0i0s6jdgZ8UP41tDeeQf-plLGdLzH9m5nT2vggU5cp55J8iab8WmFMZ8stw/SIMBANAYANGA13.jpg?width=650)
MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
10 years ago
StarTV08 May
Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.
Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cFHxPJ4HxwA/VDGVtBOJREI/AAAAAAAAq4o/EATkXz6zhl8/s72-c/10433895_804475506261651_4017831221493516899_n.png)
9 years ago
Vijimambo08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/YANGA-BINGWA-e1439989800209.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...
10 years ago
BBCSwahili04 Oct