VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/YANGA-BINGWA-e1439989800209.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIkM9kKpUCc/VC1GvvX7SaI/AAAAAAAGnTc/rYKOBW2R4o8/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
10 years ago
Bongo502 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi hii
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ligi kuu England kuanza kutimua vumbi
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI MACHI 29