Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Meneja wa Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya fainali ya mashindano hayo yatakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini. Kulia ni Mratibu wa shindano hilo la Dance 100%, Happy Shame.
Mratibu wa shindano la Dance 100%, Happy Shame ( kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya fainali ya shindano hilo litakalofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi hii
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi kesho
FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania,...
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
9 years ago
Vijimambo08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/YANGA-BINGWA-e1439989800209.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON kutimua vumbi Jan.17
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s72-c/pix%2B1.jpg)
Mashindano ya FEASSSA yaanza kutimua vumbi
![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDmBjWLmhVE/U_sf7j1gkNI/AAAAAAAGCOs/CPCuQUDOeKc/s1600/pix%2B2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 May
Diamond league kutimua vumbi Doha