Fainali za Dance100% kutimua vumbi kesho
FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIkM9kKpUCc/VC1GvvX7SaI/AAAAAAAGnTc/rYKOBW2R4o8/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Bongo502 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi hii
FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, zitanayika Jumamosi hii ya Oktoba 4, Viwanja vya Don Bosco, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Meneja wa Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu […]
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza wiki ijayo. Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON kutimua vumbi Jan.17
Fainali za michuano ya kombe la Mataifa ya afrika inatarajiwa kuanza kutimua vumbi nchini Guinea kesho January 17,2015 .
10 years ago
BBCSwahili14 May
Diamond league kutimua vumbi Doha
Michuano maarufu ya riadha duniani ya Diamond League inaanza Doha,Qatar mwishoni mwa wiki hii,
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
EPL kuendea kutimua vumbi leo
Ligi ya England itaendelea tena leo kwa nyasi za viwanja saba kuwaka moto katika michezo ya mzunguko wa raundi ya 26.
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi
Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati jumamosi wiki hii inaanza kutimua vumbi mjini Dar es Salaam Tanzania.
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s72-c/pix%2B1.jpg)
Mashindano ya FEASSSA yaanza kutimua vumbi
![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDmBjWLmhVE/U_sf7j1gkNI/AAAAAAAGCOs/CPCuQUDOeKc/s1600/pix%2B2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania