Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EPL kuendea kutimua vumbi leo

Ligi ya England itaendelea tena leo kwa nyasi za viwanja saba kuwaka moto katika michezo ya mzunguko wa raundi ya 26.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kagame Cup kuendelea kutimua vumbi leo

Michuano ya kombe la Cecafa Kagame inaendelea kutimua vumbi nchini Tanzania

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya soka Somalia kutimua vumbi leo

Kuongezeka kwa hali ya utulivu mjini Mogadishu kumevutia kiasi cha wachezaji ishirini wa soka nchi nyingine za Kiafrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi leo

Ligi ya mabingwa wa Ulaya kwa msimu wa 2015-2016 kuanza leo

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa Senior Challenge tayari kwa kutimua vumbi, Zanzibar Heroes kujiuliza kwa Burundi leo

2-5

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayoandaliwa na Chama cha Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo nchini Ethiopia.

Ratiba ya michezo ya leo;

GROUP: B

Burundi – Zanzibar       14:00 EAT

GROUP: A

Ethiopia – Rwanda       16:00 EAT

 CECAFA      

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC

Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza  wiki ijayo.  Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON kutimua vumbi Jan.17

Fainali za michuano ya kombe la Mataifa ya afrika inatarajiwa kuanza kutimua vumbi nchini Guinea kesho January 17,2015 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi

Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati jumamosi wiki hii inaanza kutimua vumbi mjini Dar es Salaam Tanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fainali za Dance100% kutimua vumbi kesho

FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani