Cecafa Senior Challenge tayari kwa kutimua vumbi, Zanzibar Heroes kujiuliza kwa Burundi leo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayoandaliwa na Chama cha Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo nchini Ethiopia.
Ratiba ya michezo ya leo;
GROUP: B
Burundi – Zanzibar 14:00 EAT
GROUP: A
Ethiopia – Rwanda 16:00 EAT
![CECAFA](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/CECAFA.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!
Na Rabi Hume
Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.
Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!
Kikosi cha Kilimanjaro Stars..
Na Rabi Hume, Modewji blog
Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.
Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.
Goli la pili lilifungwa na Elias...
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
EPL kuendea kutimua vumbi leo
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi leo
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Kagame Cup kuendelea kutimua vumbi leo
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Ligi ya soka Somalia kutimua vumbi leo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QqYE5VWKMro/VYq7RWzevgI/AAAAAAAHjbE/z0pBzaCvXM4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
KILIMANJARO V YAZINDULIWA LEO ZANZIBAR TAYARI KWA SAFRI ZA DAR ES SALAAM NA UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QqYE5VWKMro/VYq7RWzevgI/AAAAAAAHjbE/z0pBzaCvXM4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sgNKGRa1vaA/VYq7RsMlJCI/AAAAAAAHjbI/7dqQRtYfqJc/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JUSoQOqS8B0/VYq7RgKR9qI/AAAAAAAHjbQ/ribQAj8ncr8/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Zanzibar watanganza kikosi kitakachoshiriki CECAFA Challenge Cup
Kikosi cha Zanzibar Heroes.
Na Rabi Hume
Kikosi hicho cha wachezaji 29 watakaofanyiwa mchujo kupata wachezaji 20 watakaokwenda katika mashindano ya CECAFA Challenge Cup yametajwa na kocha msaidizi wa timu ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Malale Kaye.
Kaye amewataja wachezaji hao kuwa ni;
Makipa: Mwadini Ali (Azam), Moh’d Abrahman (JKU), Mwalim Ali (Prisons) na Idrissa Ali (Hardrock).
Mabeki ni Mwinyi Hajji Mngwali (Yanga), Nassor Masoud ‘Chollo’ (Stand United), Samih Haji Nuhu (Simba), Adeyum...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10