Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi leo
Ligi ya mabingwa wa Ulaya kwa msimu wa 2015-2016 kuanza leo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Ligi ya soka Somalia kutimua vumbi leo
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ligi kuu England kuanza kutimua vumbi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wyK9bAs*AkW7vmhYZPuqN1hjT8D1i4Re77j*3e6qQuF1AlvioDjuhbIO0VvHRThkwykDqvh3-eDPiFy0SaWII4JyOvsosEjz/LEO.jpg)
9 years ago
Bongo503 Nov
Ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo November 3
![article-3300866-2E0A384000000578-957_636x412](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/article-3300866-2E0A384000000578-957_636x4121-94x94.jpg)
10 years ago
StarTV30 Sep
Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.
Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.
Ajax inakutana leo na Apoel...
9 years ago
Bongo504 Nov
Mechi za ligi ya mabingwa Ulaya leo November 4
![article-3302491-2E151D7A00000578-688_636x382](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/article-3302491-2E151D7A00000578-688_636x382-300x194.jpg)
Ligi ya Mabingwa inaendelea leo,November 4 katika viwanja mbalimbali timu ya Bayern Munich itawakaribisha Arsenal Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi F, Roma na Bayer 04 Leverkusen Uwanja wa Olimpico Kundi E, Chelsea na Dynamo Kyiv Uwanja wa Stamford Bridge Kundi G.
Mechi nyingine ni kati ya Maccabi Tel Aviv na FC Porto Uwanja wa Bloomfield Kundi G, Lyon na Zenit St Petersburg Uwanja wa Stade de Gerland Kundi H, KAA Gent na Valencia CF Uwanja wa Ghelamco Arena Kundi H, Olympiakos...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German
Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo
GROUP B;
Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow
PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg
GROUP C;
FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid
Benfica 2 – 1 Galatasaray
GROUP D;
Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus
Sevilla 1 – 3 Manchester City
Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Ratiba ya michezo ya ligi ya mabingwa Barani Ulaya, leo 3, Novemba
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya itaendelea leo hii kwa michezo nane (8) itakayopigwa katika viwanja nane tofauti. Ifuatayo ni ratiba ya michezo hiyo;
GROUP A;
Real Madrid – Paris Saint-German 22:45 AET
Shakhtar Donetsk – Malmo 22:45 AET
GROUP B;
Manchester United – CSKA Moscow 22:45 AET
PSV Eindhoven – Wolfsburg 22:45 AET
GROUP C;
FC Astana – Atletico Madrid 18:00 AET
Benfica – Galatasaray 22:45 AET
GROUP D;
Borussia Moenchengladbach – Juventus 22:45 AET
Sevilla –...