Zanzibar watanganza kikosi kitakachoshiriki CECAFA Challenge Cup
Kikosi cha Zanzibar Heroes.
Na Rabi Hume
Kikosi hicho cha wachezaji 29 watakaofanyiwa mchujo kupata wachezaji 20 watakaokwenda katika mashindano ya CECAFA Challenge Cup yametajwa na kocha msaidizi wa timu ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Malale Kaye.
Kaye amewataja wachezaji hao kuwa ni;
Makipa: Mwadini Ali (Azam), Moh’d Abrahman (JKU), Mwalim Ali (Prisons) na Idrissa Ali (Hardrock).
Mabeki ni Mwinyi Hajji Mngwali (Yanga), Nassor Masoud ‘Chollo’ (Stand United), Samih Haji Nuhu (Simba), Adeyum...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!
Na Rabi Hume
Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.
Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;
10 years ago
TheCitizen28 Nov
SOCCER: Cecafa Challenge Cup cancelled
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qoi8UktkuoM/VHjN2y6xX_I/AAAAAAAGz-4/6SgIb1-07I8/s72-c/CECAFA-Logo.jpg)
CLARIFICATION ON 2014 CECAFA CHALLENGE CUP EDITION
![](http://4.bp.blogspot.com/-qoi8UktkuoM/VHjN2y6xX_I/AAAAAAAGz-4/6SgIb1-07I8/s1600/CECAFA-Logo.jpg)
As much as the author doesn’t clearly indicate the source of his information for the alleged call-off of the regional event, he somewhere claims to have spoken to me yesterday [Thursday] which never happened.
I therefore wish to clarify as follows:1. It’s true, this year’s CECAFA challenge Cup...
9 years ago
TheCitizen17 Nov
Zanzibar picks 20 players for Challenge Cup
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Cecafa Senior Challenge tayari kwa kutimua vumbi, Zanzibar Heroes kujiuliza kwa Burundi leo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayoandaliwa na Chama cha Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo nchini Ethiopia.
Ratiba ya michezo ya leo;
GROUP: B
Burundi – Zanzibar 14:00 EAT
GROUP: A
Ethiopia – Rwanda 16:00 EAT
![CECAFA](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/CECAFA.jpg)
10 years ago
TheCitizen20 Aug
CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis
9 years ago
StarTV17 Nov
 Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.
Muda wa kutengana...
11 years ago
Michuzi22 Jul
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/B47A/production/_86920264_kenyateam.jpg)
South Sudan in Cecafa Cup last eight
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10