Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar watanganza kikosi kitakachoshiriki CECAFA Challenge Cup

2-5

Kikosi cha Zanzibar Heroes.

Na Rabi Hume

Kikosi hicho cha wachezaji 29 watakaofanyiwa mchujo kupata wachezaji 20 watakaokwenda katika mashindano ya CECAFA Challenge Cup yametajwa na kocha msaidizi wa timu ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Malale Kaye.

Kaye amewataja wachezaji hao kuwa ni;

Makipa: Mwadini Ali (Azam), Moh’d Abrahman (JKU), Mwalim Ali (Prisons) na Idrissa Ali (Hardrock).

Mabeki ni Mwinyi Hajji Mngwali (Yanga), Nassor Masoud ‘Chollo’ (Stand United), Samih Haji Nuhu (Simba), Adeyum...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Cecafa Challenge Cup cancelled

>The 2014 Cecafa Senior Challenge Cup has been called off after none of the 12 member countries expressed interest in hosting the tournament on short notice.

 

10 years ago

Michuzi

CLARIFICATION ON 2014 CECAFA CHALLENGE CUP EDITION

The New Vision [Uganda] of this Friday November 28, 2014 has run a news story on Page 49 titled ‘CECAFA SHOW OFF’ under which the author indicated that this year’s CECAFA edition won’t take place.


As much as the author doesn’t clearly indicate the source of his information for the alleged call-off of the regional event, he somewhere claims to have spoken to me yesterday [Thursday] which never happened.


I therefore wish to clarify as follows:

1.    It’s true, this year’s CECAFA challenge Cup...

 

9 years ago

TheCitizen

Zanzibar picks 20 players for Challenge Cup

The Zanzibar national soccer team, Zanzibar Heroes assistant head coach Malale Hamsini Keya, has named the final 20-man squad ahead of the Senior East and Central Africa Challenge Cup scheduled to take place in Ethiopia from November 21.

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa Senior Challenge tayari kwa kutimua vumbi, Zanzibar Heroes kujiuliza kwa Burundi leo

2-5

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayoandaliwa na Chama cha Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo nchini Ethiopia.

Ratiba ya michezo ya leo;

GROUP: B

Burundi – Zanzibar       14:00 EAT

GROUP: A

Ethiopia – Rwanda       16:00 EAT

 CECAFA      

 

10 years ago

TheCitizen

CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis

>Azam FC head coach Joseph Omog is earning fame as one of the best strategists and planners of the game.

 

9 years ago

StarTV

  Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.

 

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara,  ‘Kilimanjaro Stars’,  Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.

Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.

Muda wa kutengana...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

BBC

South Sudan in Cecafa Cup last eight

South Sudan qualify for the quarter-finals of the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup in Ethiopia after beating Malawi on Friday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani