Mashindano ya FEASSSA yaanza kutimua vumbi
![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s72-c/pix%2B1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe akitoa hotuba kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Michezo ya shule za Sekondari za Afrika Mashariki yajulikanayo kama FEASSSA (Federation of East Africa Secondary Schools Sports Association), jana katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) Mhe. Hawa Ghasia akiwakaribisha wanamichezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s72-c/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
MASHINDANO YA BASEBALL KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA WIKI HII JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s1600/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Baseball nchini Alpherio Nchimbi leo jijini Dar es salaam wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Amesema kuwa mashindano yatashirikisha timu tisa kutoka Tanzania bara na Visiwani na yanatarajiwa kufunguliwa na Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida.
Kwa mujibu wa Katibu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eOtSLw0Og-Q/UzlJ0qa6JWI/AAAAAAAA8pE/1FE4WwkTnBk/s72-c/02.jpg)
MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAANZA KUTIMUA MBIO
Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.
Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON kutimua vumbi Jan.17
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIkM9kKpUCc/VC1GvvX7SaI/AAAAAAAGnTc/rYKOBW2R4o8/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
10 years ago
BBCSwahili14 May
Diamond league kutimua vumbi Doha
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
EPL kuendea kutimua vumbi leo
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi kesho
FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania,...