MASHINDANO YA BASEBALL KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA WIKI HII JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s72-c/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
Na Nyakongo Manyama- MAELEZO.MASHINDANO ya Kitaifa ya Awamu ya Tatu ya Mchezo wa Baseball yanatarajiwa kuanza Ijumaa ya wiki hii jijini Dar es salaam.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Baseball nchini Alpherio Nchimbi leo jijini Dar es salaam wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Amesema kuwa mashindano yatashirikisha timu tisa kutoka Tanzania bara na Visiwani na yanatarajiwa kufunguliwa na Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida.
Kwa mujibu wa Katibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s72-c/IMG_0320.jpg)
MICHUANO YA Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA
![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s1600/IMG_0320.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--5DdZU0Fya8/VCKAJw9VsOI/AAAAAAAGldA/5C6oLfd0FHo/s1600/IMG_0306.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4KxzwXSBbcA/VCJ61avSSlI/AAAAAAAGlcw/J0XvRdhAtnA/s1600/IMG_0282.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s72-c/IMG_0320.jpg)
MICHUANO YA Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA
![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s1600/IMG_0320.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--5DdZU0Fya8/VCKAJw9VsOI/AAAAAAAGldA/5C6oLfd0FHo/s1600/IMG_0306.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4KxzwXSBbcA/VCJ61avSSlI/AAAAAAAGlcw/J0XvRdhAtnA/s1600/IMG_0282.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s72-c/pix%2B1.jpg)
Mashindano ya FEASSSA yaanza kutimua vumbi
![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDmBjWLmhVE/U_sf7j1gkNI/AAAAAAAGCOs/CPCuQUDOeKc/s1600/pix%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ligi kuu England kuanza kutimua vumbi
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI MACHI 29