MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAANZA KUTIMUA MBIO
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOtSLw0Og-Q/UzlJ0qa6JWI/AAAAAAAA8pE/1FE4WwkTnBk/s72-c/02.jpg)
MASHINDANO ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii inayowahusisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari (NSSF Media Cup) yameanza kutimua vumbi katika uwanja wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam.
Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.
Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI MACHI 29
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s72-c/pix%2B1.jpg)
Mashindano ya FEASSSA yaanza kutimua vumbi
![](http://2.bp.blogspot.com/-UrLtnYGLHu4/U_sf5iL9vxI/AAAAAAAGCOg/YZK39sMTp9E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDmBjWLmhVE/U_sf7j1gkNI/AAAAAAAGCOs/CPCuQUDOeKc/s1600/pix%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Mar
NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon
NSSF ilishiriki ikiwa kama mdhamini wa mbio za KM 5 ambazo zilishirikisha washiriki zaidi ya 3500. Pamoja na udhamini huo NSSF ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa wakazi mbalimbali wa Mkoa wa kilimanjaro walioshiriki na kutembelea kwenye banda lao.
![Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/web.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRjJBoxEmT9uJMDVsqeOpAZqrHt3Lmn70E3upIzGDbE4Zgme-c40ZoXF8YFKYIr8KkxsJg0*Z-fttEv9Z30aqEp/web3.jpg?width=650)
NSSF YANG'ARA MASHINDANO YA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DJpa7bUjDC4/VQFDNrctv6I/AAAAAAAHJu8/PwXaC9xaCgc/s72-c/unnamed.jpg)
TBC yaanza maandalizi NSSF CUP
![](http://2.bp.blogspot.com/-DJpa7bUjDC4/VQFDNrctv6I/AAAAAAAHJu8/PwXaC9xaCgc/s1600/unnamed.jpg)
Katibu wa timu ya TBC, Jesse John alisema vikosi vyake vinajifua usiku na mchana kuhakikisha ukongwe wao katika fani ya habari unaonekana kwa ushindi wa uwanjani.
"Tunaishukuru Kampuni ya Isere kwa kutusaidia vifaa vya michezo...
10 years ago
Michuzi15 Mar
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...