NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DJpa7bUjDC4/VQFDNrctv6I/AAAAAAAHJu8/PwXaC9xaCgc/s72-c/unnamed.jpg)
TBC yaanza maandalizi NSSF CUP
![](http://2.bp.blogspot.com/-DJpa7bUjDC4/VQFDNrctv6I/AAAAAAAHJu8/PwXaC9xaCgc/s1600/unnamed.jpg)
Katibu wa timu ya TBC, Jesse John alisema vikosi vyake vinajifua usiku na mchana kuhakikisha ukongwe wao katika fani ya habari unaonekana kwa ushindi wa uwanjani.
"Tunaishukuru Kampuni ya Isere kwa kutusaidia vifaa vya michezo...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tumaini yaanzisha vurugu NSSF Cup
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI MACHI 29
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eOtSLw0Og-Q/UzlJ0qa6JWI/AAAAAAAA8pE/1FE4WwkTnBk/s72-c/02.jpg)
MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAANZA KUTIMUA MBIO
Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.
Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s72-c/unnamed+(70).jpg)
JK afungua Mkutano mkuu wa NSSf jijini Arusha leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RnEuwGk8KuQ/U3I6bsMx6CI/AAAAAAAFhXU/pOZ5z2HVoLc/s1600/unnamed+(69).jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Jiwe la msingi la jengo la NSSF Moshi kuwekwa leo