Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi hii
FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, zitanayika Jumamosi hii ya Oktoba 4, Viwanja vya Don Bosco, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Meneja wa Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tuPuzljuQaA/VC1GvZw1cCI/AAAAAAAGnTY/fZ94ntCfEi4/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIkM9kKpUCc/VC1GvvX7SaI/AAAAAAAGnTc/rYKOBW2R4o8/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi kesho
FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania,...
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
9 years ago
Vijimambo08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/YANGA-BINGWA-e1439989800209.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...
9 years ago
GPLAZAM SPORTS FEDERATION CUP KUTIMUA VUMBI WIKIENDI HII
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s72-c/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
MASHINDANO YA BASEBALL KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA WIKI HII JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s1600/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Baseball nchini Alpherio Nchimbi leo jijini Dar es salaam wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Amesema kuwa mashindano yatashirikisha timu tisa kutoka Tanzania bara na Visiwani na yanatarajiwa kufunguliwa na Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida.
Kwa mujibu wa Katibu...
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
9 years ago
Bongo509 Oct
Fainali za shindano la Dansi 100% ni Jumamosi hii