MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI
![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxih-zJTWuSKAhIRsg*b5b7mj9rUp0i0s6jdgZ8UP41tDeeQf-plLGdLzH9m5nT2vggU5cp55J8iab8WmFMZ8stw/SIMBANAYANGA13.jpg?width=650)
Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi (Januari 26 mwaka huu) kwa mechi tano katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam, Tanga wakati mechi ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting inahamishiwa uwanja mwingine. Ashanti United itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Coastal Union itacheza na Oljoro JKT katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
9 years ago
Vijimambo08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/YANGA-BINGWA-e1439989800209.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...
11 years ago
GPL11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s72-c/images.jpg)
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s1600/images.jpg)
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5-8fcFduXY/VaO7Z5BjJ_I/AAAAAAAHpWo/7ie6X0eHtfk/s72-c/logo.png)
MICHUANO YA KAGAME KUANZA JUMAMOSI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5-8fcFduXY/VaO7Z5BjJ_I/AAAAAAAHpWo/7ie6X0eHtfk/s1600/logo.png)
Mashindano ya CECAFA Kagame Cup ni mashindano makongwe barani Afrika ambayo yalianza mwaka 1967 kwa kushirikisha timu za ukanda wa Afrika...
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Mkutano wa G20 kuanza Jumamosi Australia
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI KUANZA JUMAMOSI HII - JAN 24, 2015
I would like to inform you that the first Swahili class will be on Saturday January 24 2015 from 3:00pm - 5:00pm. We will meet at White Oak Community Recreation Center located at 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904. You can call the community center for inclement weather and closures ONLY at (240) 777-6940.
Any question about the Swahili class please call
Iddy - President at (301) 613‑5165Harriet- Vice President (240) 672‑1788Asha -Instructor (301) 793-2833Bernadeta - Vice...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Onyesho la Coke Studio kuanza Jumamosi wiki hii
-Wasanii wa Tanzania Ali Kiba,Fid Q na Vanessa kuwasha moto
Wasanii nguli kutoka Tanzania wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki maarufu kwa jina la Coke Studio Afrika ambalo litaanza Jumamosi wiki hii .Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani “Kolabo”na litarushwa na kituo cha televisheni cha Clouds kuanzia saa 12 jioni.
Meneja wa Biashara za Coca-Cola...