Mkutano wa G20 kuanza Jumamosi Australia
Viongozi mbalimbali duniani wameanza kuwasili mjini Brisbane kuhudhuria mkutano wa G20
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mkutano wa G20 wakamilika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxih-zJTWuSKAhIRsg*b5b7mj9rUp0i0s6jdgZ8UP41tDeeQf-plLGdLzH9m5nT2vggU5cp55J8iab8WmFMZ8stw/SIMBANAYANGA13.jpg?width=650)
MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5-8fcFduXY/VaO7Z5BjJ_I/AAAAAAAHpWo/7ie6X0eHtfk/s72-c/logo.png)
MICHUANO YA KAGAME KUANZA JUMAMOSI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5-8fcFduXY/VaO7Z5BjJ_I/AAAAAAAHpWo/7ie6X0eHtfk/s1600/logo.png)
Mashindano ya CECAFA Kagame Cup ni mashindano makongwe barani Afrika ambayo yalianza mwaka 1967 kwa kushirikisha timu za ukanda wa Afrika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EeKE1lEipgo/U80F44VXyXI/AAAAAAAF4V0/hLSpT2qJyNU/s72-c/unnamed+(37).jpg)
"Selfies" toka Mkutano wa UKIMWI, Melbourne, Australia
![](http://1.bp.blogspot.com/-EeKE1lEipgo/U80F44VXyXI/AAAAAAAF4V0/hLSpT2qJyNU/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f51D6xoLKaE/U80F46qZzRI/AAAAAAAF4Vw/BW2RunFg7Cc/s1600/unnamed+(36).jpg)
9 years ago
Michuzi08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI
![](http://tff.or.tz/images/agm.png)
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana kimanumanu African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana Lizombe Majimaji wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea.
Azam FC...
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI KUANZA JUMAMOSI HII - JAN 24, 2015
I would like to inform you that the first Swahili class will be on Saturday January 24 2015 from 3:00pm - 5:00pm. We will meet at White Oak Community Recreation Center located at 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904. You can call the community center for inclement weather and closures ONLY at (240) 777-6940.
Any question about the Swahili class please call
Iddy - President at (301) 613‑5165Harriet- Vice President (240) 672‑1788Asha -Instructor (301) 793-2833Bernadeta - Vice...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Onyesho la Coke Studio kuanza Jumamosi wiki hii
-Wasanii wa Tanzania Ali Kiba,Fid Q na Vanessa kuwasha moto
Wasanii nguli kutoka Tanzania wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki maarufu kwa jina la Coke Studio Afrika ambalo litaanza Jumamosi wiki hii .Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani “Kolabo”na litarushwa na kituo cha televisheni cha Clouds kuanzia saa 12 jioni.
Meneja wa Biashara za Coca-Cola...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
9 years ago
Vijimambo08 Sep
VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI, ANGALIA TIMU YAKO INAANZA NA NANI…
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/YANGA-BINGWA-e1439989800209.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2015/2016 inatazamiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi Septemba 12, 2015 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Ndanda FC ya Mtwara watakua wenyeji wa Mgambo Shooting katika uwanja wa Nagwanda Sijaona mjini Mtwara, Wana ‘kimanumanu’ African Sports watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, huku Wana ‘Lizombe Majimaji’ wakiwa wenyeji wa maafande wa JKT Ruvu katika...