Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


"Selfies" toka Mkutano wa UKIMWI, Melbourne, Australia

Mbunge wa Kigamboni na Mwakilishi wa Bara la Afrika katika Taasisi ya Kimataifa ya UKIMWI duniani (International AIDS Society), Dkt Faustine Ndugulile (MB) akipiga picha ya "Selfie" na Bibi Hellen Clarke, Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya UNDP na Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zealand baada ya kikao cha pamoja cha Wabunge wa mabara mbalimbali kilichofanyika tarehe 21.07.2014 huko Melbourne, Australia. Dkt Ndugulile MB akipiga picha ya "selfie" na mkurugenzi mkuu wa UNAIDS, Dkt Michel Sidibe.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa G20 kuanza Jumamosi Australia

Viongozi mbalimbali duniani wameanza kuwasili mjini Brisbane kuhudhuria mkutano wa G20

 

11 years ago

BBC

No selfies at Mandela coffin

Police enforce strict ban on mobile phones at Mandela's coffin

 

11 years ago

Mwananchi

MKUTANO WA UKIMWI 2014: ARV zinaweza kuangamiza VVU duniani bila haja ya dawa, chanjo

>Mkutano wa kuzungumzia Ukimwi 2014 uliofanyika Melbourne, Australia, ulimalizika kwa azimio kwamba njia rahisi na ya haraka ya kumaliza tatizo la kuenea kwa Virusi Vya Ukimwi (VVU)  ni upatikanaji wa chanjo au tiba.

 

10 years ago

Bongo Movies

Life style: Manaiki Sanga, Mkali wa “Selfies” Hapa Bongo!!!

‘Selfie’ ni  aina ya picha ambazo watu hujipiga wenyewe kwa kutumia camera za simu zao au  digital camera na mara nyingi huwa ni kwaajili ya ku-share kwenye mitandao ya kijamii.

Leo katika pitiapitia za kurasa za waigizaji wa hapa bongo, nimebaini kuwa mwigizaji Manaiki Sanga ndie msanii ambae amepiga selfies kali zaidi, hapa nazungumzia zile zinazo jumuisha watu zaidi ya mmoja.

Kama unam-follow makali huyu kwenye mtandao wa instagram, utakubaliana na mimi kuwa jamaa anapenda sana mtindo...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid akishiriki mkutano wa mapambano dhidi ya UKIMWI,Malaria na TB Marekani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif S.Rshid(Mb), akishiriki mkutano  ambao ulijadili juu ya mapambano dhidi ya magonjwa Kama UKIMWI,Malaria na TB.walijadili jinsi ya kuimarisha huduma za kuwafikia wananchi Wengi zaidi kwa kutumia rasilimali zilizopo. Washiriki wengine wanaoonekana katika picha hii ni katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.Donnan Mmbando(kulia kwa waziri), Mkurugenzi mtendaji wa mfumo wa Dunia wa kupambana na UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu. Dkt.Mark Dybul...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watson, Ward, Edmund watupwa Melbourne

Wachezaji tenesi Heather Watson, James Ward na Kyle Edmund wamepoteza michezo

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena,Novak Djokovic kidedea Melbourne.

Serena Williams na Novak Djokovic waingia raundi ya Tatu ya michuano ya Melbourne

 

9 years ago

Dewji Blog

Application to Melbourne Hub of the Global Shapers Community

logo (2)

Call for Applications: Global Shapers Melbourne is looking for talented 20-something change makers. Apply by 28 Sep http://bit.ly/1PVTFO5

 

The Melbourne Global Shapers are committed to identifying extraordinary young or emerging leaders with unique qualities that set them apart from the mainstream. Global Shapers represent all walks of life but share an entrepreneurial spirit, demonstrated leadership ability with potential for growth, and a desire to improve the state of the...

 

5 years ago

The Guardian

'Flabbergasted': Melbourne doctor with coronavirus symptoms continued seeing patients

'Flabbergasted': Melbourne doctor with coronavirus symptoms continued seeing patients  The GuardianMelbourne’s The Toorak Clinic closed as doctor tests positive coronavirus  7NEWS.com.auMelbourne GP clinic closed after doctor tests positive for coronavirus  ABC NewsCoronavirus: Melbourne doctor infected, saw patients in Toorak, cases rise in Victoria, Queensland, New South Wales  NEWS.com.auToorak doctor with coronavirus saw 70 patients before testing positive  9NewsView Full coverage on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani