MKUTANO WA UKIMWI 2014: ARV zinaweza kuangamiza VVU duniani bila haja ya dawa, chanjo
>Mkutano wa kuzungumzia Ukimwi 2014 uliofanyika Melbourne, Australia, ulimalizika kwa azimio kwamba njia rahisi na ya haraka ya kumaliza tatizo la kuenea kwa Virusi Vya Ukimwi (VVU)Â ni upatikanaji wa chanjo au tiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5LjwxS1NwTKf*7kHIonWJl0OzNp1JjDF9nqBV1KGb6Hk-a2g9OsBl4*pPtnHWhiSMDYsoe-D0wTk*maV0UMvU9/ARVs.jpg?width=650)
ARV’S; DAWA ZA KUREFUSHA MAISHA YA WAATHIRIKA WA UKIMWI
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Historia ya Ukimwi na ugunduzi wa ARV - 4
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gw6qeKR6gFQ/Xk5VvHKPidI/AAAAAAAAIIA/vbQIXM95e688RT_3rgWlw6FAEIX6Mf5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_123924_659.jpg)
SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.
Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Watoto kunufaika na dawa mpya za ARV
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
Mwananchi23 May
Bado naamini chanjo ya VVU itapatikana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Historia ya Ukimwi, ugunduzi wa VVU - 3
11 years ago
Habarileo14 May
Matokeo chanjo ya Ukimwi leo
MATOKEO ya utafiti wa chanjo ya ugonjwa wa Ukimwi na magonjwa yasiyoambukiza nchini, yatatolewa katika kongamano la kisayansi linaloanza leo jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo la siku mbili lenye kaulimbiu ya ‘Utafiti wa Afya, Mafunzo na Ubunifu kwa Maendeleo Endelevu’, limeandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas).
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y*wDQ4ub4Bm7I4MuGXnFTQEb6mDznfGdckW1TM7xZZECQj2K-7qFrNrLriVUhIv1oa8QxkNQ5agoUoqolnjb8hfjzkH78PpF/060505_hiv_virus_02.jpg?width=650)
FAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/ UKIMWI