Watoto kunufaika na dawa mpya za ARV
Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani imeidhinisha matumizi ya Dawa mpya zitakazochanganywa kwenye chakula cha Watoto
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5LjwxS1NwTKf*7kHIonWJl0OzNp1JjDF9nqBV1KGb6Hk-a2g9OsBl4*pPtnHWhiSMDYsoe-D0wTk*maV0UMvU9/ARVs.jpg?width=650)
ARV’S; DAWA ZA KUREFUSHA MAISHA YA WAATHIRIKA WA UKIMWI
BAADA ya kuchambua kwa kina magonjwa nyemelezi katika matoleo yetu matatu yaliyopita ya gazeti hili leo tuangalie dawa za kurefusha maisha ambayo kitaalamu huitwa antiretroviral therapy kifupi ARVs. Dawa hii hupigana dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi. Madawa haya huwasaidia wale walio na virusi hivi kukaa katika afya nzuri. Aina nyingine ya madawa haya ni Protease Inhibitors, hii huzingira virusi na kuvizuia...
10 years ago
Mwananchi04 Dec
40% ya watoto hawajui kwa nini wanameza ARV
Asilimia 40 ya watoto wenye umri chini ya miaka 15 wanaotumia dawa zakufubaza virusi vya Ukimwi (ARV) baada ya kuthibitika kuwa wanaishi na virusi hivyo katika Manispaa ya Ilala, hawajui kwanini wanameza dawa hizo.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
MKUTANO WA UKIMWI 2014: ARV zinaweza kuangamiza VVU duniani bila haja ya dawa, chanjo
>Mkutano wa kuzungumzia Ukimwi 2014 uliofanyika Melbourne, Australia, ulimalizika kwa azimio kwamba njia rahisi na ya haraka ya kumaliza tatizo la kuenea kwa Virusi Vya Ukimwi (VVU)Â ni upatikanaji wa chanjo au tiba.
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wastaafu waanza kunufaika mfumo mpya
WASTAAFU nchini wameanza kunufaika na huduma ya kupokea malipo yao ya pesheni kupitia huduma ya kifedha iliyoanzishwa na Shirika la Posta.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mhandisi Zephania Chaula amezindua hospitali ya Wilaya hiyo hivyo waliokuwa wakisafiri umbali wa zaidi ya kilomita 180 hadi 200 kufuata huduma hiyo jijini Arusha au Mkoani Kilimanjaro wataondokana na adha hiyo.
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s72-c/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
WATEJA WA VODACOM WAANZA KUNUFAIKA NA HUDUMA MPYA YA”ONGEA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s320/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hii mpya,Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa,amesema kuwa Vodacom...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Watoto wanavyopata uraibu wa dawa za kulevya
Hali ni ya joto kali jijini Dar es Salaam. Katika kitongoji cha Maguruwe, Tandika Mikoroshini, nakutana na msichana Zerish au Zena Mwita. Ni mweusi, mfupi kiasi na mwembamba.
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Watoto, wanafunzi watumika kusambaza dawa za kulevya
>Je, unazijua safari zote za mtoto wako wa kiume? Je, siku za mwisho wa juma au mapumziko anakuwa kwenye mazingira yanayoeleweka? Je, hakuna wakati amelioonekana kuwa na vitu kuliko uwezo wa familia?
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Vyakula vya watoto vyadaiwa kuwekwa dawa za kulevya
Tahadhari imetolewa kwa wazazi kuwa makini na vyakula wanavyokula watoto wao kufuatia kuibuka kwa mbinu mpya ya wauzaji dawa za kulevya kuweka dawa zao hizo kwenye vyakula vinavyopendwa na watoto.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania