Wastaafu waanza kunufaika mfumo mpya
WASTAAFU nchini wameanza kunufaika na huduma ya kupokea malipo yao ya pesheni kupitia huduma ya kifedha iliyoanzishwa na Shirika la Posta.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s72-c/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
WATEJA WA VODACOM WAANZA KUNUFAIKA NA HUDUMA MPYA YA”ONGEA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s320/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hii mpya,Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa,amesema kuwa Vodacom...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xwxIBDqPNHs/Xm57EsnHagI/AAAAAAALjxo/z6JsaEwibYoL_6w7AlP3oM1jBKwB_K3OwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-3.jpg)
Tabora Waanza Kunufaika na Mradi wa Maji Ziwa Victoria
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Mradi wa maji kutoka ziwa Victoria umeanza kufanya kazi na kuwanufaisha wananchi ambao wamepitiwa na mradi huo katika mkoa wa Tabora, na unatarajiwa kunufaisha wakazi wakazi Milioni 1.8 utakapokamilika.
Akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema mradi huo unaogharimu shilingi bilioni 600 utawanufaisha wakazi wa vijiji zaidi...
11 years ago
Mwananchi09 Jun
TRA na JWT waanza kupitia mfumo wa kodi
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Watoto kunufaika na dawa mpya za ARV
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
10 years ago
Habarileo31 Aug
Usahihishaji mpya sekondari waanza
USAHIHISHAJI mpya wa mitihani ya Taifa kwa kidato cha nne na sita, unaoendana na utaratibu mpya wa upangaji wa ufaulu na madaraja, unatarajiwa kuanza kutumika katika mtihani wa majaribio wa kidato cha nne mwaka huu nchini kote, na kufuatiwa na mitihani yote ya kidato cha nne na sita.
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Basata yaanzisha mfumo mpya
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limeanzisha kanzidata ‘database’ ya kuhifadhi kumbukumbu na taarifa mbalimbali za kumbi za starehe na burudani nchini ili kurahisisha upatikanaji wa takwimu sahihi katika sekta ya sanaa.
Akizungumza jijini hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa Basata kuhusu matumizi sahihi ya kanzidata, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Godfrey Mngereza alisema wanaimani malengo ya kuhifadhi taarifa na...
10 years ago
Habarileo25 Jan
OUT waja na mfumo mpya wa mitihani
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimeanza utaratibu wa kuondoa msimu wa mitihani kwa kuweka mfumo wa kufanya mtihani kila mtahiniwa anapohitaji ambapo wanafunzi wanaweza kuomba mitihani kupitia tovuti.