Usahihishaji mpya sekondari waanza
USAHIHISHAJI mpya wa mitihani ya Taifa kwa kidato cha nne na sita, unaoendana na utaratibu mpya wa upangaji wa ufaulu na madaraja, unatarajiwa kuanza kutumika katika mtihani wa majaribio wa kidato cha nne mwaka huu nchini kote, na kufuatiwa na mitihani yote ya kidato cha nne na sita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
NECTA laboresha mfumo wa usahihishaji
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limesema katika kutekeleza majukumu yake limeweza kuboresha mfumo wa usahihishaji wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE). Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wastaafu waanza kunufaika mfumo mpya
WASTAAFU nchini wameanza kunufaika na huduma ya kupokea malipo yao ya pesheni kupitia huduma ya kifedha iliyoanzishwa na Shirika la Posta.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s72-c/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
WATEJA WA VODACOM WAANZA KUNUFAIKA NA HUDUMA MPYA YA”ONGEA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s320/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hii mpya,Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa,amesema kuwa Vodacom...
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watu waanza kujitolea kushiriki majaribio ya chanjo mpya corona
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7670ePLc568/UxbvFLnNKCI/AAAAAAAFRLQ/d1vKUkPKbA8/s72-c/unnamed+(8).jpg)
USAHIHISHAJI WA MITIHANI SHULE ZA MSINGI KWA KUTUMIA KOMPYUTA WAPATA MAFANIKIO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-7670ePLc568/UxbvFLnNKCI/AAAAAAAFRLQ/d1vKUkPKbA8/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ocz_VRXpt-A/UxbvDni9hvI/AAAAAAAFRLI/c2KDLoPBSVw/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kpdwgdb5yTY/UxbvLy4u55I/AAAAAAAFRLY/x4RpIIadnGw/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Mfumo mpya wa uandikishaji sekondari utazisaidia shule binafsi?
11 years ago
Michuzi17 Mar
AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- TAMISEMI
![](https://3.bp.blogspot.com/-WCb8axvmjEU/UyXRn4sRKuI/AAAAAAACrv0/o6DU52j0s1o/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-
i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677
Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania...
10 years ago
TZtoday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/uploads/thumb83.jpg)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-
i. walimu wa cheti (Daraja IIIA)...