WATEJA WA VODACOM WAANZA KUNUFAIKA NA HUDUMA MPYA YA”ONGEA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjbW3tQoh-Q/VVM-kFe_ysI/AAAAAAAHXAk/BeMeLFvDTFo/s72-c/tvhejz553mfhngrh2zur.jpg)
Wateja wa Vodacom Tanzania sasa wameanza kunufaika na huduma mpya ya Ongea iliyozinduliwa rasmi leo ambayo inatoa unafuu mkubwa wa kupata huduma za mawasiliano kwa wateja na wananchi kwa ujumla. Ambapo mteja akinunua muda wa maongezi kwa Tsh 1,000/-mteja anapata dakika 100 za maongezi kupiga simu kwa mtandao wa Vodacom kwenda Vodacom,SMS 1000 na MB 100 za data.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hii mpya,Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa,amesema kuwa Vodacom...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ3MvA-X-Bzb9nMHJY5YnWwwnB-SH-w3aoZa9t5w*50Nc4KjrS9mrMerE2ta*b4-XBwX7Yg07KiaxNKGNDiTXxqc/001.UTT.jpg?width=650)
WATEJA WA UTT KUNUFAIKA NA HUDUMA YA VODACOM M PESA
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Wateja wa Safaricom na Vodacom kunufaika
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wastaafu waanza kunufaika mfumo mpya
WASTAAFU nchini wameanza kunufaika na huduma ya kupokea malipo yao ya pesheni kupitia huduma ya kifedha iliyoanzishwa na Shirika la Posta.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Vodacom na mapinduzi ya huduma kwa wateja
MWISHONI mwa miaka ya 1990, Tanzania iliingia katika orodha ya nchi zinazotumia mawasiliano ya simu ya mkononi. Katika miaka hiyo, huduma ya simu za mkononi ilionekana ni ya wachache sana,...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-02oMoMeedSo/VflyJKDwVXI/AAAAAAAAIFU/btL4Aa5I2hs/s640/SIMBA%2BNEWS%2Bvoda-03.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hjddvqSdx_8/UwnBB1gBJgI/AAAAAAAFO3E/3ui7tQTmXRc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma kwa wateja Dar es Salaam
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa62aWBAXKy1hH0R53yx3P6q9MIokSLPzPRwKcD5SbsQ0K57NE2DVYy1Kz-qaTbir-FStde1piPnHrT3AgKsDk9B/001.WAZIRI.jpg?width=650)
WATEJA 225,000 WA VODACOM WAJIUNGA NA HUDUMA YA UJUMBE MFUPI YA UZAZI SALAMA
9 years ago
MichuziMAWAKALA WA VODACOM TANZANIA WAPIGWA MSASA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA