MAWAKALA WA VODACOM TANZANIA WAPIGWA MSASA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
Mkuu wa Kitengo cha M-Pesa wa Vodacom Tanzania, George Kagaruki akitoa mafunzo kwa Mawakala wa M-Pesa wa kanda ya Mbagala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wakati wa Semina iliyoandaliwa na Kampuni hiyo kwa ajili ya mawakala hao kujifunza jinsi ya kutoa na kuboresha huduma za kifedha, kuepukana na udanganyifu wa kifedha na jinsi ya kupata faida zaidi kwa kuuza Vodafasta (muda wa hewani) na kuunganisha wateja wa kampuni hiyo kwa kutumia huduma ya M-Pawa.
Wakufunzi wa Semina ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Dec
PSPF YAPATA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/unnamed267.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2B1-QLkIo_o/VO27Bk8K3lI/AAAAAAAHF1E/p95qtpfBySg/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2B1-QLkIo_o/VO27Bk8K3lI/AAAAAAAHF1E/p95qtpfBySg/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U07cOF2XESY/VO27AjbJaWI/AAAAAAAHF0w/ABAl6VaGssg/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xaLxKrBLF-NcW3dpcS--dMgIBn-UqPXh-VLsIrWTU5YcJ1nInbDtx3N3nkDvmllKahgEDaV7c0DNUnYJ8kgAjU/001.LEO.jpg?width=650)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
11 years ago
Dewji Blog05 May
Wanawake Vodacom wapigwa msasa
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika Makao makuu ya Kampuni hiyo. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akisikiliza swali kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s72-c/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
SHIRIKA la ndege la EMIRATES kuendeleza kuwajali wateja wao kutoa huduma bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-pzupjm9flls/XqMS1vcyDjI/AAAAAAALoJ0/gtfIZDIaH2cm-Gbd0BCnOChde0MjcUm4gCLcBGAsYHQ/s640/29a62745-8ce1-464c-a818-0681f1b5149e.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Afisa Mkuu wa Biashara wa Shirika hilo Adnan Kazim imeeleza kuwa janga la Covid -19 halikutarajiwa na amewashukuru wabia wa biashara na wateja wao kwa kuwa wavumilivu, subira na waelewa katika kipindi hiki ambacho sheria zao si...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0VS-N8LT0rq1gJppoC0n-FRm1tbg4oXQrgfJzxWcyp72nWxwLk3z850FgQuJ1STFeBrwVYLs3M7eKnly1kGKE*9/001.CHAI.jpg?width=650)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Vodacom na mapinduzi ya huduma kwa wateja
MWISHONI mwa miaka ya 1990, Tanzania iliingia katika orodha ya nchi zinazotumia mawasiliano ya simu ya mkononi. Katika miaka hiyo, huduma ya simu za mkononi ilionekana ni ya wachache sana,...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)