VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati akizindua huduma ya LIPA KWA M PESA inayowawezesha wasambazaji wa huduma kupokea malipo ya mauzo kwa njia ya M-pesa kutoka kwa wauzaji wajumla. Kampuni ya Chai Bora na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia wasamabzaji wake kampuni ya Mahawi zimkuwa miongoni mwa wasambazaji wa awali kutumia huduma hiyo. Wengine pichani ni Mwakilishi wa Mahawi Enterprises Joseph Mahawi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0VS-N8LT0rq1gJppoC0n-FRm1tbg4oXQrgfJzxWcyp72nWxwLk3z850FgQuJ1STFeBrwVYLs3M7eKnly1kGKE*9/001.CHAI.jpg?width=650)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
10 years ago
Bongo516 Sep
Vodacom Tanzania yaanzisha huduma mpya ya ‘LIPA KWA M-PESA’
9 years ago
MichuziMAWAKALA WA VODACOM TANZANIA WAPIGWA MSASA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Bei yapanda ghafla katika maduka ya jumla na rejareja
10 years ago
Habarileo24 Dec
MSD sasa yaanzisha maduka ya rejareja
BOHARI Kuu ya Dawa nchini (MSD) imesema ifikapo Januari 30 mwakani itakuwa imetekeleza mabadiliko makubwa yenye lengo la kuhakikisha dhima ya ‘Kuwezesha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba vyenye ubora kwa bei nafuu kwa Watanzania wote’ inatekelezwa kwa vitendo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6f9XRcbJlY4/U4Rozghj3GI/AAAAAAAFldA/GjGstW75Yv4/s72-c/unnamed+(37).jpg)
Vodacom yaanzisha "Zogo" kwa Wateja wake
![](http://2.bp.blogspot.com/-6f9XRcbJlY4/U4Rozghj3GI/AAAAAAAFldA/GjGstW75Yv4/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pjpOE_Hbfl0/U4Ro3YqZmPI/AAAAAAAFldI/iorqaIfagFg/s1600/unnamed+(39).jpg)
10 years ago
Habarileo17 Sep
Voda yaanzisha huduma mpya ya lipa kwa M-Pesa
KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua huduma mpya ya M-Pesa ijulikanayo kama 'LIPA KWA M-PESA' ambayo ni jumuishi ya mfumo wa malipo utakaowezesha makampuni, mawakala wa jumla na rejareja na wafanyabiashara wengine kulipia bidhaa zao kwa kutumia huduma ya M-Pesa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uLHoRdFnD2U/VAW5JTnLrXI/AAAAAAAGbZw/GHI-BAAnpns/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Airtel yaanzisha mradi wa huduma kwa jamii ujulikanao kama TUNAKUJALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uLHoRdFnD2U/VAW5JTnLrXI/AAAAAAAGbZw/GHI-BAAnpns/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
CFAO Motors yaanzisha huduma mpya kwa wamiliki wa malori ya Mercedes Benz nchini
Msimamizi wa ufundi wa Magari aina ya Mercedes Benz kutoka kampuni ya CFAO Motors Bw. Winner Mushi (wa tatu kushoto) akionyesha matumizi ya kifaa maalum cha ukaguzi wa Malori ya Mercedes Benz (Star Diagnosis Machine) kwa baadhi ya mafundi na wasimamizi wa ufundi wa magari ya kampuni ya Bakhresa Group.
Bakhresa Group ni mmoja wapo wa wateja wa CFAO Motors ambao wanamiliki malori ya Mercedes Benz. Bw. Heico Herzog Mtaalamu wa ufundi (Flying Doctor) kutoka Mercedes Benz Ujerumani,(wa tatu...