Bei yapanda ghafla katika maduka ya jumla na rejareja
Kumeibuka sintofahamu miongoni mwa wananchi na wafanyabiashara wa maduka ya rejareja baada ya bei ya sukari kupanda ghafla na kufikia Sh80,000 kwa mfuko wa kilo 50.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Dec
MSD sasa yaanzisha maduka ya rejareja
BOHARI Kuu ya Dawa nchini (MSD) imesema ifikapo Januari 30 mwakani itakuwa imetekeleza mabadiliko makubwa yenye lengo la kuhakikisha dhima ya ‘Kuwezesha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba vyenye ubora kwa bei nafuu kwa Watanzania wote’ inatekelezwa kwa vitendo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0VS-N8LT0rq1gJppoC0n-FRm1tbg4oXQrgfJzxWcyp72nWxwLk3z850FgQuJ1STFeBrwVYLs3M7eKnly1kGKE*9/001.CHAI.jpg?width=650)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akizindua huduma ya LIPA KWA M PESA inayowawezesha wasambazaji wa huduma kupokea malipo ya mauzo kwa njia ya M-pesa kutoka kwa wauzaji wajumla. Kampuni ya Chai Bora na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia wasamabzaji wake kampuni ya Mahawi zimkuwa miongoni mwa wasambazaji wa awali kutumia...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar
Hali ya uchumi Zanzibar inazidi kudorora huku bei za bidhaa zikizidi kupanda kutokana na meli zinazosafirisha bidhaa hizo kutoka Tanzania Bara kupunguza safari zake kutokana na hali ya kisiasa iliyopo hapa Zanzibar.
5 years ago
StarTV19 Feb
Bei ya nafaka yapanda Mbeya.
BEI ya mazao aina ya nafaka katika baadhi ya masoko jijini Mbeya imepanda ikilinganishwa na bei za mazao hayo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita. Nafaka zilizopanda bei ni pamoja na zile zinazo Ltumiwa na wananchi walio wengi katika maisha ya kila siku yakiwemo Maharagwe, Mahindi na Mchele ambazo kwa mujibu wa wafanyabiashara, bidhaa hizo …
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Bei ya nyama Dodoma, Dar yapanda
Wafanyabiashara wa nyama ya ng’ombe katika Manispaa ya Dodoma, wametangaza kupandisha bei ya nyama ya ng’ombe kutoka Sh6,000 hadi Sh7,000 kwa kilo moja.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-307gtfge5FA/XsZ_EUi9ktI/AAAAAAALrIM/zkfyYneA05M5bXcIE2O03YCxZ9aPNc7AwCLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA PUNGUZO LA BEI HADI 80% KWENYE MADUKA MAKUBWA YA NGUO DAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-307gtfge5FA/XsZ_EUi9ktI/AAAAAAALrIM/zkfyYneA05M5bXcIE2O03YCxZ9aPNc7AwCLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC Makonda amesema Miongoni mwa Maduka Makubwa yaliyoamua kutoa punguzo la bei ni pamoja na Mr. Price na Red Tag ya Mlimani city, Vunja Bei, Maduka yaliyopo City Mall pamoja na...
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
I Coast yapanda katika orodha ya FIFA
Ivory Coast imepanda katika orodha ya shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kushinda kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kenya yapanda nafasi 27 katika orodha ya FIFA
Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 inaorodheshwa katika nafasi ya 25 barani Afrika na 98 duniani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania