Bei ya nafaka yapanda Mbeya.
BEI ya mazao aina ya nafaka katika baadhi ya masoko jijini Mbeya imepanda ikilinganishwa na bei za mazao hayo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita. Nafaka zilizopanda bei ni pamoja na zile zinazo Ltumiwa na wananchi walio wengi katika maisha ya kila siku yakiwemo Maharagwe, Mahindi na Mchele ambazo kwa mujibu wa wafanyabiashara, bidhaa hizo …
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Bei ya nyama Dodoma, Dar yapanda
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Bei yapanda ghafla katika maduka ya jumla na rejareja
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Bei za sukari, mchele zapanda Mbeya
11 years ago
Michuzi12 Feb
JESHI LA MAGEREZA LAZINDUA DUKA LENYE BIDHAA ZA BEI NAFUU MBEYA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Habarileo22 Jun
'Tanzania ina nafaka za kutosha'
TANZANIA ina hifadhi ya kutosha ya chakula cha mazao ya nafaka, kinachofikia tani 244,830. Chakula hicho kilichohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula nchini (NFRA).
10 years ago
Habarileo25 Apr
Wafurahishwa na matokeo ya majaribio ya kuhifadhi nafaka
MAJARIBIO ya kuhifadhi nafaka kwa teknolojia isiyotumia kemikali iliyofanywa na Wakala wa Taifa wa hifadhi ya chakula (NFRA) mjini Dodoma yameonesha mafanikio makubwa na kutoa mwanya wa kuendelezwa kwa matumizi ya teknolojia hiyo.
11 years ago
Habarileo29 Apr
NFRA yaongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wameongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 241,000 za sasa hadi tani 400,000 mwaka 2016.
10 years ago
Habarileo04 Dec
Mradi kuhifadhi nafaka kisasa wazinduliwa
MRADI wa Sh milioni 900 utakaowezesha wakulima wadogo wa Nyanda za Juu Kusini na Kaskazini wa kuhifadhi nafaka kwa kutumia teknolojia bunifu ulizinduliwa katika kijiji Cha Ibumula wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, juzi.