Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NFRA yaongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka

WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wameongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 241,000 za sasa hadi tani 400,000 mwaka 2016.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wafurahishwa na matokeo ya majaribio ya kuhifadhi nafaka

Mkuu wa Programu na mratibu wa P4P wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Marina NegroponteMAJARIBIO ya kuhifadhi nafaka kwa teknolojia isiyotumia kemikali iliyofanywa na Wakala wa Taifa wa hifadhi ya chakula (NFRA) mjini Dodoma yameonesha mafanikio makubwa na kutoa mwanya wa kuendelezwa kwa matumizi ya teknolojia hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Mradi kuhifadhi nafaka kisasa wazinduliwa

MRADI wa Sh milioni 900 utakaowezesha wakulima wadogo wa Nyanda za Juu Kusini na Kaskazini wa kuhifadhi nafaka kwa kutumia teknolojia bunifu ulizinduliwa katika kijiji Cha Ibumula wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, juzi.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AIAGIZA NFRA KUHIFADHI CHAKULA KINACHONUNULIWA KWENYE VIHENGE VIPYA


Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Kilimo Japhet Hasunga amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Milton Lupa kuhakikisha chakula kinachonunuliwa Kanda ya Arusha kinahifadhiwa kwenye vihenge vipya.

Maagizo hayo ameyatoa wilayani Babati, Manyara alipofanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa maghala mapya na vihenge vya kisasa ambavyo vimekamilika kwa asilimia 94.

Waziri Hasunga ameiagiza NFRA kuhakikisha inanunua mazao mchanganyiko katika msimu huu na siyo kununua...

 

10 years ago

Michuzi

TIPER kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta kufikia mita za ujazo 213,000

 Mafundi wa kampuni ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER), wakitengeneza paa katika moja ya matanki mapya ya kampuni hiyo, wakati kampuni hiyo ikitaraji kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta maradufu baada ya kukamirika kwa ukarabati wa matanki yake wawili ya mita za ujazo 36,600 kila moja ifikapo machi mwaka huu.Miongoni mwa matanki ya kampuni ya ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER) yanayofanyiwa ...

 

10 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KUINUA VIPAJI VYA KUHIFADHI QURAN JIMBO LA KIKWAJUNI YANDAA MASHINDANO MADOGO YA KUHIFADHI QURAN

 M.C. wa shughuli  Ustaadh Khamis Ameir akisoma utaratibu wa mashindano madoga ya kuinua vipaji ya kuhifadhi Quran ya Jimbo la Kikwajuni yaliyofanyika uwanja wa Alabama Michenzani Mjini Zanzibar. Mwafunzi Ramla Khamsin Jafar wa madrasati Nurul-iman akionyesha jitihada zake katika mashindano ya kuhifadhi yaliyofanyika ya Jimbo la Kwahani.  Baadhi ya washiriki wakifuatilia kwa kina mashindano hayo. Jaji kiongozi Abushayth Daud Mohudhar akitoa matokeo ya mashindano hayo. Mgeni rasmin Mbunge wa...

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO

Waziri wa Madini Dotto Biteko amelitaka shirika la maendeleo la taifa (NDC)kujipa muda wa kuvitambua vipaji na uwezo walionao waanzilishi mbalimbali wa viwanda na kuona wanawasaidiaje katika kukuza uwezo wao badala ya kukimbilia kuulizia vibali au leseni ya shughuli zao.

Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...

 

11 years ago

Habarileo

'Tanzania ina nafaka za kutosha'

TANZANIA ina hifadhi ya kutosha ya chakula cha mazao ya nafaka, kinachofikia tani 244,830. Chakula hicho kilichohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula nchini (NFRA).

 

5 years ago

StarTV

Bei ya nafaka yapanda Mbeya.

BEI ya mazao aina ya nafaka katika baadhi ya masoko jijini Mbeya imepanda ikilinganishwa na bei za mazao hayo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita. Nafaka zilizopanda bei ni pamoja na zile zinazo Ltumiwa na wananchi walio wengi katika maisha ya kila siku yakiwemo Maharagwe, Mahindi na Mchele ambazo kwa mujibu wa wafanyabiashara, bidhaa hizo …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani