TIPER kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta kufikia mita za ujazo 213,000
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s72-c/pix%2B1.jpg)
Mafundi wa kampuni ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER), wakitengeneza paa katika moja ya matanki mapya ya kampuni hiyo, wakati kampuni hiyo ikitaraji kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta maradufu baada ya kukamirika kwa ukarabati wa matanki yake wawili ya mita za ujazo 36,600 kila moja ifikapo machi mwaka huu.
Miongoni mwa matanki ya kampuni ya ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER) yanayofanyiwa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Tiper kutumia Sh19 bil. kuhifadhi mafuta
9 years ago
Bongo506 Jan
Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti
![tweet limit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/tweet-limit-300x194.jpg)
Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kenya yashinda dhahabu mita 3,000 na 10,000
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jTcereGxV8U/U5s9_zCIyTI/AAAAAAAFqXs/SzYvTDtdoVQ/s72-c/01.jpg)
TIPER YAIKABIDHI SERIKALI GAWIO LA SHILINGI 1,275,000.00
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTcereGxV8U/U5s9_zCIyTI/AAAAAAAFqXs/SzYvTDtdoVQ/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BvQoEMo2ABs/U5s9_5sSpmI/AAAAAAAFqX4/Ak4LPI3lNVM/s1600/02.jpg)
11 years ago
Habarileo29 Apr
NFRA yaongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wameongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 241,000 za sasa hadi tani 400,000 mwaka 2016.
10 years ago
Habarileo31 Aug
Wajipanga kuongeza idadi ya watalii kufikia milioni 3.3
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi amesema Serikali imejipanga kuongeza idadi ya watalii wanaoingia nchini kufikia milioni 3.3 baada ya miaka mitatu .
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-POZzQYxmc5A/VZDzavKpEbI/AAAAAAAHlb0/Cfp-SSRUzMc/s72-c/picha%2B2.jpg)
SIMBACHAWENE AKAGUA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI MAFUTA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-POZzQYxmc5A/VZDzavKpEbI/AAAAAAAHlb0/Cfp-SSRUzMc/s640/picha%2B2.jpg)
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Waethiopia na Wakenya wafuzu mita 5,000