Kenya yashinda dhahabu mita 3,000 na 10,000
Mwanariadha wa Kenya Ezekiel Kemboi ameshinda medali ya nne mfululizo katika mashindano ya dunia mjini Bejjing baada ya kuwaongoza Wakenya wenzake kushinda nafasi za kwanza nne bora.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19 AnandTechView Full coverage on Google News
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Waethiopia na Wakenya wafuzu mita 5,000
Wanariadha 3 wa Ethiopia pamoja na wengine 3 wa Kenya wamefuzu katika fainali ya mbio za mita 5000 siku ya jumamosi mjini Beijing.
10 years ago
Habarileo07 Sep
Kondoa wafikishiwa mita 1,000 za maji
ILI kuifanya miradi ya maji Kondoa Mjini iwe endelevu zaidi ya mita za maji 1,000 zimepelekwa Kondoa ili kuwafungia wateja wa maji mjini humo.
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Voliboli:Kenya yashinda dhahabu Grand Prix
Timu ya Kenya ya voliboli ya wanawake ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Grand Prix.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s72-c/pix%2B1.jpg)
TIPER kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta kufikia mita za ujazo 213,000
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6SNioTbuN6s/VNmOX_wLg-I/AAAAAAACzpw/S99LhH8W-Aw/s1600/pix%2B2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HgvHLWIP7tc/Xr-S3qc9YxI/AAAAAAABMGw/ssOsFtUqzdEESFt_MqjlGf0--Oq-ehVMgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
PARACHICHI, DHAHABU YA KIJANI INAYOWANUFAISHA ZAIDI YA WAKULIMA 10,000 TANZANIA
Ni dhahiri kwamba kwa muda mrefu tumekuwa tukiangalia Parachichi kama zao la kawaida hasa katika nchi yetu ya Tanzania. Kwa sasa zao hili limekuwa kati ya mazao makuu ya biashara kutoka Tanzania.
![](https://1.bp.blogspot.com/-HgvHLWIP7tc/Xr-S3qc9YxI/AAAAAAABMGw/ssOsFtUqzdEESFt_MqjlGf0--Oq-ehVMgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Ni Kweli kwamba zao hili linalopatikana kwa wingi Njombe, Iringa, Mbeya na Kilimanjaro lenye asili ya muda mrefu kutoka Guatemala Mexico sasa limekuwa kati ya mazao makubwa ya biashara duniani. Zao hili kwa sasa linaipatia nchi ya Tanzania takribani Shilingi Bilioni 27.6 kwa Mwaka ikiwa ni kutoka...
5 years ago
VentureBeat30 Mar
HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation
HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor The Wall Street JournalView Full coverage on Google News
10 years ago
Bongo520 Jan
Shilingi bilioni 29,995,000,000 zinawasubiri wateja wa Vodacom kupitia promosheni ya JayMillions
Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku. Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi […]
10 years ago
Bongo509 Dec
Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots
Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania