Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Voliboli:Kenya yashinda dhahabu Grand Prix

Timu ya Kenya ya voliboli ya wanawake ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Grand Prix.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda taji la voliboli Afrika

Kenya iliishinda Algeria seti 3-0 katika mechi ya fainali na kuibuka mshindi wa mashindano ya voliboli ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake katika ukumbi wa Kasarani, jijini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hamilton mshindi wa Russia Grand Prix.

Dereva wa mashindano ya mbio za magari langa langa Lewis Hamilton ameshinda huko Urusi katika Russia Grand Prix.

 

11 years ago

TheCitizen

Rosberg wins Austrian Grand Prix

Championship leader Nico Rosberg won the Austrian Grand Prix here yesterday, putting Mercedes back on top in a nail-biting finale with teammate Lewis Hamilton.

 

9 years ago

Bongo5

Hamilton ashinda mbio za ‘Russian Grand Prix’

Dereva wa Mercedes, Lewis Hamilton ameibuka mshindi wa mbio za Russian Grand Prix. Huo ni unakuwa ushindi wa tatu wa dunia. Hamilton alikuwa katika nafasi ya pili kuelekea dakika za mwisho mwisho za mashindano hayo kabla ya dereva mwenza wa Mercedes Nico Rosberg kukabiliwa na matatizo ya injini. Mjerumani Nico Rosberg alilazimika kuyaaga mashindano aliposhindwa […]

 

5 years ago

Formula 1

Formula 1 launches Virtual Grand Prix Series to replace postponed races

Formula 1 launches Virtual Grand Prix Series to replace postponed races  Formula 1F1 2020: Dutch, Spanish GPs postponed, Monaco cancelled  Sky SportsFormula 1 to replace postponed races with virtual grand prix series  BBC SportOpinion: Time for F1 to experiment… if and when 2020 gets going  Motorsport WeekIs less more? The challenges behind F1’s economically challenging 2020 season  Fox SportsView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Bongo5

Hamilton ashinda taji la tatu la mashindano ya United States Grand Prix

Dereva wa magari, Lewis Hamilton ameendelea kufanya vizuri na kung’ara zaidi msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix. Hamilton ameshinda michuano hiyo ya dunia na kutwaa taji lake la tatu kwa msimu huu wa michuano ya Formula 1. Hamilton ambaye ni dereva wa timu ya Mercedes, anakua Muingereza wa […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda dhahabu mita 3,000 na 10,000

Mwanariadha wa Kenya Ezekiel Kemboi ameshinda medali ya nne mfululizo katika mashindano ya dunia mjini Bejjing baada ya kuwaongoza Wakenya wenzake kushinda nafasi za kwanza nne bora.

 

5 years ago

Michuzi

TBL YASHINDA TUZO YA KIZIBO CHA DHAHABU, KUKIONESHA KWA WATANZANIA

 Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imepata Tuzo ya Kizibo Cha Dhahabu inayomaanisha Ubora wa Kimataifa kutokana na uzalishaji wa bidhaa zake bora. 
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa Brand za TBL, Pamela Kikuli alisema kuwa, TBL imefurahi kupata tuzo hiyo ambayo alisema kuwa imeongeza heshima katika jina la kampuni na bidhaa zake na kwamba wataendelea kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi mahitaji ya wateja wake nchini kote. 
“Kwakweli tumefurahi sana kupata tuzo hii ambayo ni ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Voliboli :wanawake Kenya vinara

Timu ya wanawake ya Voliboli nchini Kenya yawiki michuano ya All Africa Games

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani