Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yashinda taji la voliboli Afrika

Kenya iliishinda Algeria seti 3-0 katika mechi ya fainali na kuibuka mshindi wa mashindano ya voliboli ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake katika ukumbi wa Kasarani, jijini Nairobi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yashinda dhahabu Grand Prix

Timu ya Kenya ya voliboli ya wanawake ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Grand Prix.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya ni kidedea katika Voliboli Afrika

Kenya imesajili ushindi wa pili katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Afrika miongoni mwa wanawake

 

10 years ago

BBCSwahili

Golden State Warriors yashinda taji

Timu ya Golden State Warriors ndio washindi wa ligi ya mpira wa vikapu nchini Marekani katika kipindi cha miaka 40,baada ya kuishinda Cleveland Cavaliers 105-97

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Ahly ni mabingwa wa Afrika wa Voliboli

Al Ahly ilishinda bingwa mtetezi Esperance ya Tunisia seti 3-1 katika mechi ya fainali ya mashindano ya voliboli ya klabu bingwa Afrika

 

9 years ago

BBCSwahili

Voliboli :wanawake Kenya vinara

Timu ya wanawake ya Voliboli nchini Kenya yawiki michuano ya All Africa Games

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya, Algeria kucheza fainali Voliboli

Timu za wanawake za Kenya na Algeria zitapambana katika mchezo wa fainali Jumamosi

 

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yafuzu kwa nusu fainali

Kenya imefuzu kwa nusu fainali ya mchuano wa voliboli ya wanawake ya Grand Prix baada ya kuwanyamazisha Algeria seti 3-2 kwao

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yashinda Afrika Kusini kriketi

Uingereza imepata ushindi wa wiketi sita kwa mikimbio 38 pekee siku ya tano ya mechi ya kimataifa na kukamilisha ushindi wa mikimbio 241 dhidi ya Afrika Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani