Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya, Algeria kucheza fainali Voliboli

Timu za wanawake za Kenya na Algeria zitapambana katika mchezo wa fainali Jumamosi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yafuzu kwa nusu fainali

Kenya imefuzu kwa nusu fainali ya mchuano wa voliboli ya wanawake ya Grand Prix baada ya kuwanyamazisha Algeria seti 3-2 kwao

 

9 years ago

BBCSwahili

Voliboli :wanawake Kenya vinara

Timu ya wanawake ya Voliboli nchini Kenya yawiki michuano ya All Africa Games

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya ni kidedea katika Voliboli Afrika

Kenya imesajili ushindi wa pili katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Afrika miongoni mwa wanawake

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda taji la voliboli Afrika

Kenya iliishinda Algeria seti 3-0 katika mechi ya fainali na kuibuka mshindi wa mashindano ya voliboli ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake katika ukumbi wa Kasarani, jijini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yashinda dhahabu Grand Prix

Timu ya Kenya ya voliboli ya wanawake ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Grand Prix.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kucheza nusu fainali ya FA

LIverpool imeishinda Blackburn Rovers 1-0 na hivyobasi kutinga nusu fainali na Aston Villa katika uwanja wa Wembley.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars ilistahili kucheza fainali

Cecafa imedai kwamba Kilimanjaro Stars ilistahili kucheza fainali za michuano ya Chalenji kutokana na ubora wake na si kuwania nafasi ya tatu.

 

9 years ago

Michuzi

STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA

TIMU ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, inatarajiwa kusafiri na ndege ya binafsi ya kukodi ya shirika la Fastjet kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano utakaochezwa Novemba 17 mjini Algiers.Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fasjet kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Jimmy Kibati amesema kampuni yao imefikia makubaliano na TFF ya kuwa msafirishaji rasmi wa timu ya Taifa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa fainali za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani