HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation
HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor The Wall Street JournalView Full coverage on Google News
VentureBeat
Habari Zinazoendana
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
11 years ago
Habarileo02 Feb
Kanisa lauza Sakramenti Sh 100,000
WAUMINI wa Kanisa la Break Through Assemblies lililoko eneo la Boko Magengeni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam linadaiwa kuuza Sakramenti kwa Sh 100,000 kwa kila muumini. Hatua hiyo inadaiwa kuwanyima wasio na fedha chakula hicho cha Bwana hivyo kusababisha malalamiko dhidi ya uongozi wa Kanisa hilo la Walokole.
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Vyeti vilivyopotea kulipiwa sh. 100,000
NA RACHEL KYALA
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa nakala za vyeti kwa watahiniwa waliopoteza vyeti vyao kwa gharama ya sh. 100,000.
Utaratibu huo utawanufaisha watahiniwa waliohitimu kuanzia mwaka 2008, ambao vyeti vyao viliwekwa picha.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde, akizungumza jijini Dar es Salaam jana, alisema hatua hiyo itapunguza changamoto zilizokuwa zikiwakabili watahiniwa waliopoteza vyeti vyao kwa sababu mbalimbali.
"Baraza limeweka...
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Arsenal kumlipa Wilshere £100,000
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Kadi za kura zauzwa 100,000/-
*Wanaume wadaiwa kuiba za wake zao
NA ARODIA PETER, DAR ES SALAAM
ZIKIWA zimebaki siku 14 kabla ya Watanzania kupiga kura, baadhi ya watu katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera wanadaiwa kununua vitambulisho vya kupigia kura vilivyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Wakazi wa kisiwa hicho walipiga simu katika gazeti la MTANZANIA wakimtuhumu mmoja wa wagombea udiwani wa Kata ya Goziba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Masaba Nkunami, kuwa ndiye kinara wa ununuzi huo...
11 years ago
TheCitizen27 Feb
UTT clocks 100,000 investors
11 years ago
TheCitizen02 May
Oil sector to create about 100,000 jobs
9 years ago
TheCitizen24 Nov
El Nino floods could displace 100,000 in Ethiopia - U.N
11 years ago
Habarileo09 Jan
Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.